Watoto wa kidato cha kwanza wanacheza mchezo wa upatu, Taifa linaelekea wapi?

Watoto wa kidato cha kwanza wanacheza mchezo wa upatu, Taifa linaelekea wapi?

Mwamuzi wa Tanzania

JF-Expert Member
Joined
Apr 7, 2020
Posts
15,486
Reaction score
45,256
Habari!
Mama mmoja aliniambia kuwa amepigiwa simu akiambiwa mtoto wake binti wa kidato cha kwanza anadaiwa pesa na wanafunzi wenzako shule ambayo kahama. Mama alihama kutoka Wilaya ya TEMEKE na sasa yuko wilaya ya Ilala na binti alipatiwa uhamisho.

Zamu yake ya kuchukua pesa ilishapita na alichukua ila Kuna wengine ambao hawajapata na yeye amehama tayari. Najua huyu mtoto hakuwa na nia ya kuwazima wenzake ila mazingira yalikuwa restricted.

Ninalowaza ni hili la mtoto wa miaka 12 anaanzaje kuingia kwenye upatu?
Je, upatu unakuza uchumi wa Taifa?

Mabinti na wamama sasa wamekuwa rahisi kwasababu ya michezo. Unaweza kudhani kuwa demu kakupenda sana kumbe ni upatu unamchanganya.

Kataa mke wako kujiingiza kwenye maupatu ya hovyo, mwambie pesa akupe umtunzie mpaka zifike kiasi anachotaka.
 
Habari!
Mama mmoja aliniambia kuwa amepigiwa simu akiambiwa mtoto wake binti wa kidato cha kwanza anadaiwa pesa na wanafunzi wenzako shule ambayo kahama. Mama alihama kutoka Wilaya ya TEMEKE na sasa yuko wilaya ya Ilala na binti alipatiwa uhamisho.

Zamu yake ya kuchukua pesa ilishapita na alichukua ila Kuna wengine ambao hawajapata na yeye amehama tayari. Najua huyu mtoto hakuwa na nia ya kuwazima wenzake ila mazingira yalikuwa restricted.

Ninalowaza ni hili la mtoto wa miaka 12 anaanzaje kuingia kwenye upatu?
Je, upatu unakuza uchumi wa Taifa?

Mabinti na wamama sasa wamekuwa rahisi kwasababu ya michezo. Unaweza kudhani kuwa demu kakupenda sana kumbe ni upatu unamchanganya.

Kataa mke wako kujiingiza kwenye maupatu ya hovyo, mwambie pesa akupe umtunzie mpaka zifike kiasi anachotaka.
Anacheza upatu ili iweje? Anunue kalamu au daftari? Ndo inapelekea mabinti wadogo waanze kutembea na watu wazima kisa marejesho.
 
Habari!
Mama mmoja aliniambia kuwa amepigiwa simu akiambiwa mtoto wake binti wa kidato cha kwanza anadaiwa pesa na wanafunzi wenzako shule ambayo kahama. Mama alihama kutoka Wilaya ya TEMEKE na sasa yuko wilaya ya Ilala na binti alipatiwa uhamisho.

Zamu yake ya kuchukua pesa ilishapita na alichukua ila Kuna wengine ambao hawajapata na yeye amehama tayari. Najua huyu mtoto hakuwa na nia ya kuwazima wenzake ila mazingira yalikuwa restricted.

Ninalowaza ni hili la mtoto wa miaka 12 anaanzaje kuingia kwenye upatu?
Je, upatu unakuza uchumi wa Taifa?

Mabinti na wamama sasa wamekuwa rahisi kwasababu ya michezo. Unaweza kudhani kuwa demu kakupenda sana kumbe ni upatu unamchanganya.

Kataa mke wako kujiingiza kwenye maupatu ya hovyo, mwambie pesa akupe umtunzie mpaka zifike kiasi anachotaka.
Wazazi wanachangia watoto kucheza hiyo michezo. Wanacopy kutoka kwa wazazi wao.
 
Hii sio uongo, kuna ndugu yangu aliitwa shule kesi ya mwanae kuchezesha upatu, tena mwanae kijumbe wa huo upatu. Ajabu ni kwamba mamamtu hayo mambo ya upatu hana kabisa.

Yani wakipewa hela ya kula shule wanacheza upatu. Wengine wananunua nguo, wengine simu. Ni ujinga tu.
 
Back
Top Bottom