Southern Highland
JF-Expert Member
- Mar 22, 2017
- 14,938
- 25,405
Km sio KIBAIGWA, hii itakuwa GAIROYani mzee mzima nakumbuka niling'oa mtoto mmoja wa uswaz mwenzangu kwa ajili ya hii kitu.
Sasa kuna siku nilifunga goli 20 peke yangu yani.....huku vipaji vingi sana vimepotea huku...yote ni kwa ajili ya malez ya bara letu kwa watoto.
Namiss sana enzi hiziView attachment 748243
hahahahahaa noma sana aiseeGood old days. Mpira ukipigwa juu kip asiporuka goli, akiruka sio goli.
Gombania goli nd nilikuwq naupenda. Tobo bao unacheza huku umebana miguu. Viwanja vngi vilikuwa vinakatisha ktk njia za watu so mtu au gar ikipita mnasimama mpka apte akimaliza tu kandanda linaendelea kama kawa.
Kuna kamtaa watoto walikuwa washenzi sana wakaanzisha "Tobo ****" aiseee it was horrible kupona ukipigwa tobo mpaka ukimbilie kwenu.
Ukipigwa tobo unaswekwa vidole, khaaa kuna mitaa ilikuwa imepinda.
Akija mtu mkubwa kiumbo hata mpo nae darasa moja lazima awe kipa kamw hataki aondoke. Hakuna half time wala nini, mpira unaisha giza likiingia. Kasheshe lipo nyumbani nguo zimechafuka unakula kipondo cha haja, kama umepoteza na viatu utaomba mAlaika mtoa roho akuchukue. Aiseee yapo meng sana ya kukumbuka ni hayo tu.[emoji16][emoji16][emoji16]
Mi kipindi hcho watu walipenda niita roberto calosiMchezo mzuri Sana'a tena hauna offside....kipindi cha kombe LA dunia tukirudi likizo ...kila mtu anajipa jina LA mchezaji....mi nilikua Etoo....utasikia...ronaldinho...Kaka...Drogba...evra..
Siku hizi wamacheza play station ndani.Good old days. Mpira ukipigwa juu kip asiporuka goli, akiruka sio goli.
Gombania goli nd nilikuwq naupenda. Tobo bao unacheza huku umebana miguu. Viwanja vngi vilikuwa vinakatisha ktk njia za watu so mtu au gar ikipita mnasimama mpka apte akimaliza tu kandanda linaendelea kama kawa.
Kuna kamtaa watoto walikuwa washenzi sana wakaanzisha "Tobo ****" aiseee it was horrible kupona ukipigwa tobo mpaka ukimbilie kwenu.
Ukipigwa tobo unaswekwa vidole, khaaa kuna mitaa ilikuwa imepinda.
Akija mtu mkubwa kiumbo hata mpo nae darasa moja lazima awe kipa kamw hataki aondoke. Hakuna half time wala nini, mpira unaisha giza likiingia. Kasheshe lipo nyumbani nguo zimechafuka unakula kipondo cha haja, kama umepoteza na viatu utaomba mAlaika mtoa roho akuchukue. Aiseee yapo meng sana ya kukumbuka ni hayo tu.[emoji16][emoji16][emoji16]
Na instagram kwa sana ile social interaction siku hizi imepungua mno.Siku hizi wamacheza play station ndani.
Mimi nilikuwa nagombaniwa na wale wanaoita kuchagua timu. Nilikuwa sikosi namba!Mimi nilikuwa sikosi namba nilikuwa monitor majina ya wasumbufu na watoro ninayo mfukoni mkizingua tuu napeleka kwa ticha mkali
Ulitengwa hahahaNakumbuka tu nilikuwa mkali wa kupiga madochi mpaks mpira unafumuka .......lakini baadae nliacha mpira sabab wakati wa kugawa wachezaji mpo kati kati ya uwanja mm nlikuwa wa mwisho kuchukuliwa ( kila timu hainitaki) yaani kila kapteni anasema "na huyo mchukueni tunawapa!" yaani baada ya hapo ugusishwi pasi hata moja....hahahah
hahaha acha kaka nlikuwa muoga sana kukaba vijeba kuna siku nililimwa buti kali sana mpaka mguu ukavilia nikaenda kupigwa kisu......yaani tangia wakati huo nlikua muoga "kuingiza mguu" msemo wa chandimuUlitengwa hahaha
ha ha mimi kazi yangu ilikuwa ni kupitia viatu na kwenda kuuzaYani mzee mzima nakumbuka niling'oa mtoto mmoja wa uswaz mwenzangu kwa ajili ya hii kitu.
Sasa kuna siku nilifunga goli 20 peke yangu yani.....huku vipaji vingi sana vimepotea huku...yote ni kwa ajili ya malez ya bara letu kwa watoto.
Namiss sana enzi hiziView attachment 748243
Aahaha kuna kale kamsemo cha wanasemaga kanyama hahah weebujawah itiwa hako kamsemo ukiwa uwanjani? Yan ukiitwa hv hadi timu yako wanakulima rafuhahaha acha kaka nlikuwa muoga sana kukaba vijeba kuna siku nililimwa buti kali sana mpaka mguu ukavilia nikaenda kupigwa kisu......yaani tangia wakati huo nlikua muoga "kuingiza mguu" msemo wa chandimu