aisee na hyo ni moja ya njia za kuactivate bongo za watoto......ila watu hawajui tu.......kayumba kule kuna mengi ya kujifunza mbali na elimu hii ya kawaidaAaahahah asee hata jembe langu ndmna nimelipeleka shule za st kayumba nalo lije kusimulia watoto wake ase
Wale jamaa zangu cjui wapogo wapi skuhz asee tukikutana lazma tufany party ahahaha
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Mie tatizo lilikua moja tu. Timu moja lazima mvue mashati ili kutofautisha na wapinzani. Sasa nilikua chikondee hatari. Wakifikia hapo lazima nifanye figisu nisivue shati.....
Baadae nikawa jiniaz, nnachelewa kidogo mpira uanze, nikifika naingia timu ya wenye mashati. Vidole gumba hadi leo vimeenda upande.
hahahahahaaaa ila kuvua shati kulikua na raha yake bhana......mambo yananoga afu inakupa mzuka flan hvMie tatizo lilikua moja tu. Timu moja lazima mvue mashati ili kutofautisha na wapinzani. Sasa nilikua chikondee hatari. Wakifikia hapo lazima nifanye figisu nisivue shati.....
Baadae nikawa jiniaz, nnachelewa kidogo mpira uanze, nikifika naingia timu ya wenye mashati. Vidole gumba hadi leo vimeenda upande.
nilikuwa na matatizo ya kiafya mkuu,heeee....kivp yani......mana ilikua ni aibu sana mtu kutokujumuika kwenye hii kitu akati boys darasa zima wapo ndani
Aahaha nilipo anza fm one nikaanza mademu aahaha nikawa sishikiki kila kona A... a....Nilipoanza form one nikawa busy na masomo ila nilibaki kuwa mshabiki tu mpira, isitoshe nilikutana na wababe wa mpira jambo ambalo lilinifanya niachie nafasi watu waoneshe viwango vyao.
Jinsi muda ulivyozidi kwenda hadi kufika Advance nikaacha kushabikia kabisa mpira hadi sasa hivi, mpira sina time nao kabisa
hahahahahaaaa ila kuvua shati kulikua na raha yake bhana......mambo yananoga afu inakupa mzuka flan hv
afu washkaji wanakuja kustuka baada ya kukosa goli ndo hapo mnaanza kupimiana upyaaaa........kakibaki kanafasi kadgo mnahesabu na vidole....yn hakuna kupunjanaHuku goli ni za mawe huku wakizubaa unapunguza upana kidogo dah utoto ule raha sana dah
Ile ndio ulikuwaga staili ya kuweka viatu na mara nyingine viatu vilikuwa vinatumilika kutengenezea goli(mwamba) kwa mafungu mafungu[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] hatari sana! Viatu vimerundikwa pembeni
nilikuwa na matatizo ya kiafya mkuu,
hivyo ilikuwa vigumu kunikuta nicheza kabumbu,
ila nilikuwa mpenzi mshangiliaji.
bs bhana ndo hvo jamaa akawa amekosa......bt sio mbaya......nilikua mtaalam sana wa kutengeneza mpira hiyoPole sana Jemedari. Hii kitu ilikua tunaisubiria kengele ya mapumziko kwa vinubi na vinanda. Ikigonga tu, mwendo wa kukamua ndimu.
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Mnapanga mstari, kisha wababe wawili kila upande anaanza kuita kwa zamu mchezaji anayemtaka timu yake, baada ya hapo, sheria ya kwwnza, hamna kuvaa viatu.