Watoto wa kishua walisumbua sana Dar miaka ya 90s. Via Social media na internet watoto wa uswaz wamepindua meza

Watoto wa kishua walisumbua sana Dar miaka ya 90s. Via Social media na internet watoto wa uswaz wamepindua meza

FRESHMAN

JF-Expert Member
Joined
Sep 29, 2011
Posts
9,137
Reaction score
34,793
Habari wadau.

Nimekumbuka Dar ya miaka ya 90s.

Vijana waliokuwa wanatamba mjini ni wale wa kishua.

Watoto wa o bey, upanga, mikocheni ndio walikuwa habari ya mjini.

Viwanja kama bills, slipway, mikadi beach, coco beach walikuwa wanatamba wao tu.

Vijana maarufu ni wale washua wanaosoma shule zao za kishua

Shaaban robert, mzizima, st marys, hao ndio walikuwa vijana wanaotingisha jiji la dar es salaam.

Zama hizi naona watoto wa uswazi wamepindua meza. Thanks to Bongo fleva industry, social media na internet .

Diamond plutnumz
Millard ayo
Hamisa mobetto
Harmonize
Rayvanny
Na wengineo wengi.. wamebadili game la utawala wa vijana wa kisasa.

Nowdays vijana wanaotawala jiji ni watoto waliokulia uswazi tu.

Kila zama na wakati wake
 
Habari wadau.

Nimekumbuka Dar ya miaka ya 90s.

Vijana waliokuwa wanatamba mjini ni wale wa kishua.

Watoto wa o bey, upanga, mikocheni ndio walikuwa habari ya mjini.

Viwanja kama bills, slipway, mikadi beach, coco beach walikuwa wanatamba wao tu.

Vijana maarufu ni wale washua wanaosoma shule zao za kishua

Shaaban robert, mzizima, st marys, hao ndio walikuwa vijana wanaotingisha jiji la dar es salaam.

Zama hizi naona watoto wa uswazi wamepindua meza. Thanks to Bongo fleva industry, social media na internet .

Nowdays wanaotawala jiji ni watoto wa kiswazi tu.

Kila zama na wakati wake
Wanaongoza wa Mwanayamala, kindondoni kwa Nyanya na magomeni😆😆
 
Acha ushamba kurudia thread za watu
Kama huna kazi safisha hata geto lako
Badili shuka,piga deki,toa uchafu nje
Piga air freshener Kama unayo
Afu toka njee kapumzike hata 30mins ndo urudi ndani🙏
Aahaaaa,ameiba uzi wa nani!!?
 
Habari wadau.

Nimekumbuka Dar ya miaka ya 90s.

Vijana waliokuwa wanatamba mjini ni wale wa kishua.

Watoto wa o bey, upanga, mikocheni ndio walikuwa habari ya mjini.

Viwanja kama bills, slipway, mikadi beach, coco beach walikuwa wanatamba wao tu.

Vijana maarufu ni wale washua wanaosoma shule zao za kishua

Shaaban robert, mzizima, st marys, hao ndio walikuwa vijana wanaotingisha jiji la dar es salaam.

Zama hizi naona watoto wa uswazi wamepindua meza. Thanks to Bongo fleva industry, social media na internet .

Nowdays wanaotawala jiji ni watoto wa kiswazi tu.

Kila zama na wakati wak. Duuuuuuuh hatari sana
 
Sasa wamepindua Meza kwenye social media, mi nilizani wamepambama kwenye kutafuta Ukwasi wakawa nazo kumbe kwa bundle.la tigo nivushe. Umeandika uozo wa hali ya juu.
Hahahahaha,ndio hapo sasa,halafu kwa vile vi video vya tiktok, jamaa anaonekana ni wa uswazi sana
 
Habari wadau.

Nimekumbuka Dar ya miaka ya 90s.

Vijana waliokuwa wanatamba mjini ni wale wa kishua.

Watoto wa o bey, upanga, mikocheni ndio walikuwa habari ya mjini.

Viwanja kama bills, slipway, mikadi beach, coco beach walikuwa wanatamba wao tu.

Vijana maarufu ni wale washua wanaosoma shule zao za kishua

Shaaban robert, mzizima, st marys, hao ndio walikuwa vijana wanaotingisha jiji la dar es salaam.

Zama hizi naona watoto wa uswazi wamepindua meza. Thanks to Bongo fleva industry, social media na internet .

Nowdays wanaotawala jiji ni watoto wa kiswazi tu.

Kila zama na wakati wake
Mkuu hebu njoo Hapa Lukas, Pollos au mitaa ya masaki,na huko ulikosema ,unioneshe hao watoto wa kiswazi wanaopindua meza
 
watoto wa kishua watabaki kuwa wa kishua tu, tofauti ni kwamba watoto wa uswazi ni washamba wa pesa, lazima ziwepo kelele wakizipata na macamera kibao.

Watoto wa kishua wanafika hapo kidimbwi wanaunguza milioni 5 na ni kawaida kabisa lakini huji kuona wanaposti posti mitandaoni ama kutafuta umaarufu wa matumizi.

watoto wa uswazi wakipata pesa wanavimba kinoma, wengine wanaanza misemo na nahau "jifunze kuongea na matajiri", "tafuta pesa", n.k.

Nashangaa kuna vijana wanaposti mitandaoni vibunda havijawahi kuzidi milioni 30 wanafokea watu, ubaya wa hizi kelele pesa zikianza kuisha wanaumbuka vibaya sana, kuna moja huko kashaanza kuweka vimbao kwenye hela anazoposti.
 
Acha ushamba kurudia thread za watu
Kama huna kazi safisha hata geto lako
Badili shuka,piga deki,toa uchafu nje
Piga air freshener Kama unayo
Afu toka njee kapumzike hata 30mins ndo urudi ndani🙏
Halooo🤣 mkuu hizi naweza kuipata wapi, nami niwe napulizia kwenye li geto
 
Acha ushamba kurudia thread za watu
Kama huna kazi safisha hata geto lako
Badili shuka,piga deki,toa uchafu nje
Piga air freshener Kama unayo
Afu toka njee kapumzike hata 30mins ndo urudi ndani🙏
Ukisharudi ndani piga Gita km hauna demu siku iishe salama
 
watoto wa kishua watabaki kuwa wa kishua tu, tofauti ni kwamba watoto wa uswazi ni washamba wa pesa, lazima ziwepo kelele wakizipata na macamera kibao.

Watoto wa kishua wanafika hapo kidimbwi wanaunguza milioni 5 na ni kawaida kabisa lakini huji kuona wanaposti posti mitandaoni ama kutafuta umaarufu wa matumizi.
Sawa sawa,bora umesema, anataka kujifariji tu hapa
 
watoto wa kishua watabaki kuwa wa kishua tu, tofauti ni kwamba watoto wa uswazi ni washamba wa pesa, lazima ziwepo kelele wakizipata na macamera kibao.

Watoto wa kishua wanafika hapo kidimbwi wanaunguza milioni 5 na ni kawaida kabisa lakini huji kuona wanaposti posti mitandaoni ama kutafuta umaarufu wa matumizi.
Mzee wangu umewapa ukweli mchungu kuna madogo kwao wapo vizuri Ila hawavimbi sababu wanaona ni vitu vya kawaida kwao Ila wauswazi kitu mtu anakisotea kishenzi ndio anakuja kukipata kuacha ukumbusho anapigapiga picha anapost ili hata siku akiwa juu ya mawe awe na Cha kujielezea nilishafika kidimbwi nikafanya hiki na hiki na kile
 
Back
Top Bottom