Watoto wa matajiri wengi ni wapweke. Ni rahisi kuwa nao kama Marafii/Wapenzi

Watoto wa matajiri wengi ni wapweke. Ni rahisi kuwa nao kama Marafii/Wapenzi

Daah kuna kipindi kabla mdingi hajafariki, tulikuwa tunaishi upanga. Geti kali kinoma, yaah kucheza na wenzetu hadi jmoc au jpili siku ambazo hatukuwa tukienda xul tena hapo tulikuwa tunaenda Viwanja vya Gymkhana. Maisha yale sitaki wanangu wayaishi
 
Daah kuna kipindi kabla mdingi hajafariki, tulikuwa tunaishi upanga. Geti kali kinoma, yaah kucheza na wenzetu hadi jmoc au jpili siku ambazo hatukuwa tukienda xul tena hapo tulikuwa tunaenda Viwanja vya Gymkhana. Maisha yale sitaki wanangu wayaishi
Kwa namna moja au nyingine maisha hayo yamekuathiri au yalikuathiri vipi ku socualize
 
Watoto wa uswahilini ndo wanajua mambo na watundu kitandan hawa wakishua sio watundu sanaaa
 
Nadhani upweke unatokana na kuogopana,wakishua anamuogopa wa uswazi na wa uswazi anakua anamuogopa wakishua,kila mmoja anamuona mwenzake sio level yake,ila mkisha zoweana inakua kawaida tu.
 
Labda matajiri wa Mbagala kwenu huko. Tajiri gani anaishi kujibana kwe nye ma-gate? Tajiri wa kweli anaishi kwa Farm Estate mbali na mji, watoto wake wanafanya mambo kwa ratiba kuogelea haya, kubembea haya, farasi haya wailing wall haya! Disco wanacheza na wenzao watoto wa wenye madaraka na mapesaDuniani km nilivokuwa na binti wa Mariam salim ahmed salim Nairobi likizo. U busy ule atakuta ghafla amemaliza shule anaanza kazi. Hao ni matajiri wa vihepe!
 
Labda matajiri wa Mbagala kwenu huko. Tajiri gani anaishi kujibana kwe nye ma-gate? Tajiri wa kweli anaishi kwa Farm Estate mbali na mji, watoto wake wanafanya mambo kwa ratiba kuogelea haya, kubembea haya, farasi haya wailing wall haya! Disco wanacheza na wenzao watoto wa wenye madaraka na mapesaDuniani km nilivokuwa na binti wa Mariam salim ahmed salim Nairobi likizo. U busy ule atakuta ghafla amemaliza shule anaanza kazi. Hao ni matajiri wa vihepe!
haya tumekusikia
 
Nadhani upweke unatokana na kuogopana,wakishua anamuogopa wa uswazi na wa uswazi anakua anamuogopa wakishua,kila mmoja anamuona mwenzake sio level yake,ila mkisha zoweana inakua kawaida tu.
mwisho wa siku wakishua ni wachache na wa uswazi ni wengi hivyo wa jishua anakuwa na circle ndogo sana, Binafsi marafiki zangu baadhi wamesoma hizi shule za matajiri hata shuleni marafiki walikuwa wachache sana kwasababu daeasani unakuta wapo 20 tu, Kwenye profiles za instagram unakuta followers hawazidi hata 100 ila ukija kwetu sasa followers hata tuliosoma nao tu shule ya msingi wengi.

Kuna moja hapa alipomaliza feza girls akaenda kusoma huko uingereza, sasa kahitimu na amerudi mwezi wa tatu yani ile kuna siku tulikutana huko mjini tukapiga stori mbili tatu na kupeana namba yani ile wiki karibu kila saa simu ikiita au meseji ikiingia najua ni yeye, Hii ilikuwa ni dalili ya upweke...Basi naendelea kuwasiliana nae ila nmemwambia nina mke na yeye ni mwanamke so tuheshimiane kidogo
 
Kuna dogo mmoja mtoto wa binlusm Kama sikosei... Dogo anatumia hela ovyo utadhani wanabustani ya hela home.

Kuna siku nilikuwa naye kawe, restaurant moja pia Kuna vinywaji, dogo kakaa masaa 2 katumia bili ya laki 4 na 20.
Wakati wakulugwa wenzangu alitumia 70k kimakosa Sana mbka home ilimpata.
Hahaha
 
mwisho wa siku wakishua ni wachache na wa uswazi ni wengi hivyo wa jishua anakuwa na circle ndogo sana, Binafsi marafiki zangu baadhi wamesoma hizi shule za matajiri hata shuleni marafiki walikuwa wachache sana kwasababu daeasani unakuta wapo 20 tu, Kwenye profiles za instagram unakuta followers hawazidi hata 100 ila ukija kwetu sasa followers hata tuliosoma nao tu shule ya msingi wengi.

Kuna moja hapa alipomaliza feza girls akaenda kusoma huko uingereza, sasa kahitimu na amerudi mwezi wa tatu yani ile kuna siku tulikutana huko mjini tukapiga stori mbili tatu na kupeana namba yani ile wiki karibu kila saa simu ikiita au meseji ikiingia najua ni yeye, Hii ilikuwa ni dalili ya upweke...Basi naendelea kuwasiliana nae ila nmemwambia nina mke na yeye ni mwanamke so tuheshimiane kidogo
Hahaha
 
Mkuu pengine ni sahihi kusema kuwa wanawake wengi kama siyo wote wanashawishika.
Bila kujali ni House girl, Professor, tajiri, masikini, hajasoma, binti, makamo, bibi au msomi wengi wanashawishika.

Pili, wengi hawana ujasiri wa kuhimiri stress, hivyo akiwa nayo anaiachia kwa mtu aliye karibu naye.
Ulimbo wao mkuu ni kuwa karibu naye tu na kuwa smart ku win heart and mind zao.

Kwa America na Ulaya hata kambwa kakiwa karibu na baadhi yao nako kanapewa.
Hii ndio sababu unakuta mlinzi/dereva/muuza genge ana mchanganya Prof/ Waziri na House Girl na wote wanamgombea.

Hivyo ukitaka kuwala wakishua tengeneza tu mazingira ya kuwa karibu yao. ukiwa karibu naye tu atakupa code za udhaifu wake nawe kama unapenda vitonga utapa mwanya wa kupenya bila kujari hadhi wala umaarufu wake. hata chooni bar au kichakani anaweza kukutunuku ni wewe tu na uwezo wako wa kufungua code zao. Hii ndio sababu super star wengi US akiwemo Lopez wanaliwa sana na walinzi na wasaidizi wao.

Ndio maana inashauriwa kuwa ukiwa smart upstair au ukiwa na kitu cha kipekee kinachowavutia wanawake, usijenge mazoea na wake au mademu wa watu wengine ili kujilinda na kuwatunzia heshima wanaume wenzako.

Wanawake wapo kwa ajili yetu na kwa ajili wao tunategemeana - it takes two to tango
Note: Umalaya ni mbaya na una athari hasi nyingi katika maisha na maendelo ya binadamu. hivyo mungu atusaidie tushinde kishawishi cha umalaya ili tuwe na maendeleo stahili na mwisho mwema.
 
Back
Top Bottom