Watoto wa Mengi wamburuza mahakamani Jacqueline Mengi "Klynn"

Ndoa 2015 hadi 2019 kimasihara tu klyn arithi mabilioni, Huu utani huu, atapigwa vita sana,Mali ya mchana hairithiki kirahisi hivi, Ndugu na watoto wakubwa wa mengi wanaandaa makombora mazito sana
hiyo haiwezi kuwa hoja yaan huwezi shinda kesi kwa kusema tu 2015-2019 ni muda mchache hivyo asipewe urithi, utashindwa kesi vibaya mnoo!
 
Na alichanganyikiwa kuanzia 2017 alipoandika Wosia mpaka anakufa siku zote hizo alikuwa amechanganyikiwa ?
Mbona biashara zake alizisimamia vyema ?
Mbona alikishiriki vyema kwenye sociql events akaandika mpaka kitabu ?
Inashangaza. Hao ikishindikana mahakamani nanusa kuuana/kutakuwepo uhasama utakao pelekea vifo, Ntuyabhaliwe awe mpole wagawane upya kila mtu atoke ameridhika kuepueha mengi.


Na kama kweli urithi ulikuwa kwa ajili ya jack na nduguze wakampora Karma itatenda kazi yake
 
K lyn ana nafasi kubwa ya kushinda kesi zote... na atarithi mali..

wale watoto mapacha wanamlinda sana..

pia mahakama inataka documents.. hao ndugu wa mengi wanaosema mengi alikuwa kachanganyikiwa wataombwa ripoti ya muhimbili kuonesha Mengi amechanganyikiwa kabla hajaandika urithi
 
You are very right. Wajiandae kisaikolojia
 
Hapo huo wosia ufute mambo yapangwe upya, hakuna haja ya kuzozana na kupelekana mahakamani , hata huyo k lyn kama ana busara basi aitumie kuweka mambo sawa na undugu uliopo uendelee lakini kama na yeye atakaza basi itaonekana kabisa kwamba hakuwa na nia njema na hiyo familia
 
Mlitaka Mahakamani sasa mnataka tens "busara" itumike Tulieni na mjiandae kisaikolojia
 
Kwa hiyo toka August 2017 Mpaka anafikwa na umauti billionaire PDG Mengi dish lilikuwa limecheza!

Vichaa watakuwa wengi sana mtaani kwa hali hiyo.

Au ndo kama utetezi wa Babu Seya kwamba jogoo hapandi mtungi halafu unatoka na kuoa.
 
Kwani wosia haukueleweka?

Unforgetable
Unaeleweka na uko wazi ila wanaupinga wanadai wakati marehemu anaandika huo wosia alikuwa taahira somehow, nadhani wana namna ya kumdhihirishia jaji kuwa marehemu aliandika wosia akiwa taahira(mental retarded/mental unstable).
Kwa sisi tuliosomea Engineering hapa ni wapenzi watazamaji tu.
 
Na alichanganyikiwa kuanzia 2017 alipoandika Wosia mpaka anakufa siku zote hizo alikuwa amechanganyikiwa ?
Mbona biashara zake alizisimamia vyema ?
Mbona alikishiriki vyema kwenye sociql events akaandika mpaka kitabu ?
Itakuwa wanataka kutuamisha kuwa hata kitabu alichoandika amekiandika wakati akiwa taahira(mwendawazimu/mentally insane).
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…