Watoto wa Mengi wamburuza mahakamani Jacqueline Mengi "Klynn"

Mshenzi yule alinajisi watoto wa watu. Mshenzi mwezie kamtoa. Kuonyesha ushenzi wake kaoa mfanyakazi wa ngazi ya juu wa serikali! Kuna wezi wa kuku jela hawapati msamaha...
Au ndo kama utetezi wa Babu Seya kwamba jogoo hapandi mtungi halafu unatoka na kuoa.
 
Inasemekana waliwahi enda Mahakamani kuweka pingamizi la Mzee kutoweka sahihi kwenye lolote
K-lyn anaweza kupotezwa hapa kama walifanya hivyo kwa kuweka pingamizi huko nyuma
 
Machame kutakalika kweli?
Lile zoezi la 'bora tukose wote' linaweza tekelezeka mbele ya safari
Mjane huyu anaponzwa na washauri wabovu
Watoto wakubwa kafungueni hii kesi Moshi hapo Kisutu kuna kidudu mtu bashite atawavuruga
Kesi ipo mahakama kuu na jaji ni mkwe wa faza hausi.
 
Hiyo ni sheria.Kwani wewe huna uwezo wa kumpa mtu mwingine mali yako pasipo maoni ya watoto wako?
Kasome Sheria ya wosia mkuu na vitu vinavyoweza kukufanya uondoe warithi kwenye wosia,yaani wosia ukiwa unfair Mahakama inautengua
 
Kuna tajiri mmoja wa Kilimanjaro ni mmiliki wa Mabasi maarufu nchini.

Alipoona Mama yao amefariki na kulikuwa na uwezekano wa Baba yao kuoa tena, alifanya mpango akamhasi.

Haya mambo yanavuruga akili wakati mwingi, ilibidi wanafamilia walione hilo tangu Mzee Mengi akiwa hai isingefika huku ilikofika.
 
Ningeshangaa sana kama haya mambo yasingefika mahakamani...

Haiwezi kua easy come and easy go kwa Klyn...


Cc: mahondaw
 
Mzee alifanya makosa prenup ilikuwa inahusika kwa hawa madada wa mujini...angemfungulia makampuni yake ajitegemee
 
Kasome Sheria ya wosia mkuu na vitu vinavyoweza kukufanya uondoe warithi kwenye wosia,yaani wosia ukiwa unfair Mahakama inautengua
Mkuu kuna watu wanaandika kwa mujibu wa hisia zao, lakini kisheria k lyn ana wakati mgumu kushinda kesi, kwa mfano kwa mujibu wa sheria haiwezekani mzazi awanyime watoto wake urithi labda kwa sababu kadhaa mojawapo ikiwa ni labda kama kuna mtoto wa kiume alizini na mke wa marehem, nk. sasa hapa regina na abdiel wamenyimwa urithi!!
 
Vipimo ya kutambua alikuwaamechanganyikiwa vimewasilishwa mahakamani?
Hii hoja waondoe haraka kama hawataki kupigwa goli 8:0 kama mechi ya leo kati ya manchester City na wattford respectively.

Wana kipimo kuhakikishia mahakama juu ya hili.

JE Marehemu alikuwa anatumia dawa za magonjwa ya akili kama Haloperidol, carbamazepine, olanzepine?

2015-2019 upate kiinua mgongo in term of billions itakuwa ni matumizi mabaya ya akili kwa kaya kuu ya marehemu Mengi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…