Watoto wa Mengi wamburuza mahakamani Jacqueline Mengi "Klynn"

Hiyo kesi ndogo sana wosia siyo kila kitu ni lazima mahakama iangalie kwanini mengi asiwape urithi sawa Watoto wake wote kama itaonekana akukuwa na sababu ya kubagua Watoto wake zinazo kubalika kisheria basi wosia auwezi kufuatwa
 
Mimi sijui sheria ila,naomba nijue yafuatayo,kuna uthibitisho gani unao ondoa uhalali wa wosia kwa kigezo kuwa kuwa Mengi alikuwa kachanganyikiwa?Pili,kutumia wakili kuthibitisha uhalali wa wosia haikubaliki kisheria mpaka mahakama ndio ithibitishe?Tatu,katika swala la kutoa wosia,mtoaji anapangiwa mtu wa kumuandika kwenye wosia wake?mathalani ni lazima watoto wake wote wawe warithi na si baadhi ya watoto kama alivyofanya marehemu...?
 
Hao watoto wakubwa wana tamaa,walisharidhi share zilizokua za mama yao sasa hizi za babayao wamepewa hawa wadogo.waridhike waache taama.
 
Mjane apate haki yake. Ndugu watafute vya kwao.
 
Halafu mkuu tafuta vya kwako.Haya mambo ya kutegemea urithi mwachie mwenye mali aamue nani wa kumpa!
 
K Lyn wazee wa kasulu,Kibondo na Manyovu wako nyuma yako! Usiogope.
Ulinzi jnao madhubuti..
 
Vyovyote itakavyokuwa klyn atakuwa ndie mwanamke tajiri zaidi tanzania(mjane) from zero to billionare!
 
Katika kosa kubwa alilolifanya mzee mengi ni kuoa uzeeni na mbaya zaidi kaoa mtutsi.Ndani ya miaka 4 akili yote ya mzee ikawa imekwisha.Sasa nataka niuone mziki wa wamachame wao si wababe wacheze na hili sasa.
 
Halafu hizi ndoa za uzeeni ni matatizo tupu.Wazee wengine sijui wakoje tu,mwisho wa siku huziacha familia katika migogoro isiyo ya lazima.

Scenario hii inafanana na ile iliyoikumba familia yetu. Baba yetu baada ya kustaafu kazi (alikuwa mtumishi wa Idara ya Afya) akaamua 'kuoa' mdada fulani ambaye kiumri anazidiwa na dada na kaka zangu wakubwa.Mdada yule alianza mahusiano na mshua mwaka mmoja kabla Mzee hajastaafu,mwaka uliofuata Mzee akastaafu na akaitumia pension kuvuta 'kigori' ndani.

Kiukweli tulikereka, ndugu zake baba nao hawakufurahishwa.Mama alipata pressure, na baada ya muda alipata stroke,na huo ndo ukawa mwisho wake.

Kilichotukera zaidi,yule mdada alikuwa mfujaji wa mali ni balaaa.Alimfundisha baba starehe ambazo hakuzijua wala kukulia.Baba akawa kituko kama 'Kiokote'.Ma'mdogo alijua kula pension, na aliitafuna hasa. Kuona vile tulimwanzishia timbwili la ukweli. Kuna siku brother alimvizia mahala akampa kipondo cha maana hadi akachakaa.

Mungu atusamehe, maana tulimtengenezea ajali akagongwa na pikipiki iliyomwachia majeraha makubwa.In short aendelee kupumzika huko kwa amani.Japo nami nitamfuata, lakini aendelee tu na pumziko lake la milele.

Ila sometimes sisi wanaume tukizeeka tunakuwaga 'vilaza' sana.
 
Too late. Watoto wa Mengi walijisahau kumshauri baba yao kwamba asioe hao mamiss na bongo movie. Tena mm huyo mzee angekua baba yangu ningemtafutia zigo moja la maana lingepewa nyumba gari ili limpoze faza wakati huo nahakikisha mtoto wa uswazi tu asiyewaza ndoa wala show off. Hamna kitu kibaya kama ndoa ya ushahidi kanisani au msikitini endapo ukiwa tajiri.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…