Mbao za Mawe
JF-Expert Member
- May 11, 2015
- 23,372
- 54,943
Kabisa.Unamaanisha mtu apigwe misumari
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kabisa.Unamaanisha mtu apigwe misumari
Kwahiyo huwa unatumiaga shetaniPesa ni shetani..
Halafu mkuu tafuta vya kwako.Haya mambo ya kutegemea urithi mwachie mwenye mali aamue nani wa kumpa!Hakuna sheria ya hivyo,Mahakama inaupiga chini,unless nithibitishe walitaka kuniua au wa kiume alizini na mke wangu au hawakuwepo kwenye maisha yangu au kama ni sheria ya Uislamu mtoto aliyezaliwa nje ya ndoa (ingawa nayo,Mahakama ikiona nilimuhalalisha inampa urithi)
Mimi ninavyo vya kwangu na nina warithi pia ila hainizuii kukupa facts za wosiaHalafu mkuu tafuta vya kwako.Haya mambo ya kutegemea urithi mwachie mwenye mali aamue nani wa kumpa!
Aisee nmecheka sanaHuyo mzee aliandika urithi wakati ananyonywa mbooo ndio akapagawa kabisa
Na Ghadaffi aliyefia kwenye mtaro tumsemeje?Mengi kaishi kishujaa ila kafa kifala.
Na Ghadaffi aliyefia kwenye mtaro tumsemeje?