Watoto wa Mfalme Zumaridi wafika Mahakamani, leo Septemba 9, 2022

JanguKamaJangu

JF-Expert Member
Joined
Feb 7, 2022
Posts
2,780
Reaction score
6,607
Daaah ujinga wa mzazi wanaumia watoto, sitaki kusema mungu mke zumaridi hana kosa ila watoto wanatesek sanaa, umri walionao ndio mbovu wanaweza jikuta wako kwenye mambo machafu zaidi
 
Watu wana wivu... Mama wa watu kaamua kujipigia pesa za wajinga watumishi uchwara wakaona nongwa na kmufungulia kesi
Tatizo kavuka mipaka ya kula hadi tozo za Sirikali (H/Nyamagana).Yani halmashauri haikusanyi pato ila mama anaupiga mwingi hapo Mkolani makao yake makuu. Tozo ya Waziri mwenye dhamana unaila mbele ya wafuasi wake[emoji1787][emoji1787][emoji1787]


Umeona wapi Mfalme anakuwa mwanamke? Nauliza tu!!


ZERO STOP
 
Apewe kifungo cha nje aachiwe akalee watoto wake hapo wanamweleza mama yao kuwa ada imekwama na hawajaenda skuli.Huyo ni mjasiriamali kama wengine amechangamkia fursa
 
Daaah ujinga wa mzazi wanaumia watoto, sitaki kusema mungu mke zumaridi hana kosa ila watoto wanatesek sanaa, umri walionao ndio mbovu wanaweza jikuta wako kwenye mambo machafu zaidi
Wanaumia kummiss mama yao labda.Atatoka wawe na subiria
 
Huyu zumarid hana mtandao na walamba asali yule aliyeua moshi sababu ya mtandao na walamba asali naona mambo safi kabisa huku wake wa walamba asali ndio wateja wake
 
Apewe kifungo cha nje aachiwe akalee watoto wake hapo wanamweleza mama yao kuwa ada imekwama na hawajaenda skuli.Huyo ni mjasiriamali kama wengine amechangamkia fursa
mungu ajaishiwa pesa,
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…