Watoto wa Mfalme Zumaridi wafika Mahakamani, leo Septemba 9, 2022

Watoto wa Mfalme Zumaridi wafika Mahakamani, leo Septemba 9, 2022

Attachments

  • Screenshot_20220908_212153.jpg
    Screenshot_20220908_212153.jpg
    107.9 KB · Views: 4
Hii serikali mambo ya muhimu huwa haiweki kipaumbele bali visivyo na tija SAsa huyu mama wa watu kaamua kuwa mjasiliamali wanahangaika nae. Mbona kina zumarid wamejaa tele wengine wakiwauzia watu maji tena bila kulipa hata tozo lakini wameachwa
 
Huyu zumarid hana mtandao na walamba asali yule aliyeua moshi sababu ya mtandao na walamba asali naona mambo safi kabisa huku wake wa walamba asali ndio wateja wake
yeah, mi siwakubali sn hawa watu but atendewe tu fair km mtu mwngine yeyote na sio zitumike sana hisia kumkomesha ili kusend message
 
Nchi hii ukitaka mambo yako yakunyokee kwenye upigaji washike mkono walamba asali ye haoni wenzake wanapeta tu, akitoka ajifunze
 
Shida ya mahakama za Tanzania ipo hapa.hukumu kuchukua MUDA MREFU
 

Watoto wa mfalme Zumaridi hii leo Septemba 9, 2022, wamefika Mahakamani kufuatilia kesi ya mama yao.

Zumaridi na wafuasi wake nane wanakabiliwa na kesi ya kujeruhiwa askari polisi na kuwazuia kutekeleza majukumu yao na inaendelea na ushahidi.

Source: EATV

Pia soma:
Mfalme Zumaridi aonesha kutokuwa na imani na Hakimu anayeendesha shauri lake

Shahidi kesi ya ‘Mfalme Zumaridi’ augua mahakamani, kesi yapigwa kalenda
Huyo wa kike inaonekana bado mbichi kilometa chache sana zimetembea, akitoka nitaenda kusali kwake kwa muda nivizie bintiye hapa kwa Malisa Nyasaka pisi kali hakuna
 
Hii nchi ya hovyo sana. Vyombo vya sheria vinahangaika na mambo ya hovyo wanaacha watu wanafyonza tozo bila huruma.
 
Ila huyu mungu ni comedy Sana huwa ananifurahisha Sana nikimchek tiktok akitupia
 
Tatizo kavuka mipaka ya kula hadi tozo za Sirikali (H/Nyamagana).Yani halmashauri haikusanyi pato ila mama anaupiga mwingi hapo Mkolani makao yake makuu. Tozo ya Waziri mwenye dhamana unaila mbele ya wafuasi wake[emoji1787][emoji1787][emoji1787]


Umeona wapi Mfalme anakuwa mwanamke? Nauliza tu!!


ZERO STOP
Si ndio tumeona Kwanza?
 
Back
Top Bottom