Watoto wa mgombea Ubunge Eldoret-Kenya watekwa na kuuawa Kenya

Duh! Huu ni ukatili na unyama mkubwa sana. Watoto hao wamemkosea nini huyo aliyeamua kuchukua uhai wao?

 
Daah! Ni zaidi ya unyama kampeni za Africa zakishamba sana sasa ukiua hao watoto unapata nn *****
 
Wakenya hawaishiwa vituko. Kwanza ni wapuuzi sana, wauaji na wakabila sema madada zao hawanaga roho mbaya.
 
wacheni kujifanya ni kana kwamba mambo haya huwa hayatendeki Tz...wacha hata Tz, mambo haya huwa yanatendeka duniani kote...ndio ulimwengu wa Mola huu...mauaji mabaya kweli kwa sababu wale watoto hawana hatia ila msijifanye eti nyie ni malaika.
 
Safari hii Raila asipopelekwa ICC ntashangaa sana
 
Best democracy iko Tanzania tu kwa East Africa. RIP watoto
 
Duh! Huu ni ukatili na unyama mkubwa sana. Watoto hao wamemkosea nini huyo aliyeamua kuchukua uhai wao?
Hazitofautiani sana na hizi za pande hii. Wanasiasa ni watu wabaya sana! RIP watoto !
 
Reactions: BAK
Kuna raia walisema kenya ndo nchi yenye demokrasia ya ukweli kuliko zote EAC.
 
Naam ni kweli kabisa mwezi wa nane huu hatujui Ben Saanane alipo, kama si kelele za Watanzania Roma na wenzie labda nao "wangekuwa hawajulikani walio"

Hazitofautiani sana na hizi za pande hii. Wanasiasa ni watu wabaya sana! RIP watoto !
 
Duh! Huu ni ukatili na unyama mkubwa sana. Watoto hao wamemkosea nini huyo aliyeamua kuchukua uhai wao?
Huo ulikuwa sio uchaguzi mkuu ulikuwa uchaguzi ndani ya chama cha Jubilee kupata mgombea wa kwenda kupambana na mgombea wa chama cha NASA. Je maoni yako mambo yatakuwaje uchaguzi mkuu August 2017
 
Reactions: BAK
Kweli Inasikitisha sana
lakini kwa kipindi jama hiki
kenya haya mambo niyakawaida kutokea
Hili si Geni
japo huu ni unyama ulio pitiliza
watoto wadogo sana hao!!
Mi nashangaa ninapowaona wabunge wa bongo wanasema eti nchi yetu haina demokrasia! Watu watukana viongozi mpaka mishipa ya shingo inawatoka na hakuna unyama kama huu, so sad.
 
ndugu zetu WAKENYA acheni siasa za chuki!!! mtakwisha wote!!! hebu kuweni na ubinaadamu angalau kidogo!!!
fanyeni siasa za kistaarabu kwa masĺahi ya nchi yenyu.
Wako na ukabila mkubwa sana Kenya.
 
Tusishangae kuona mauaji makubwa sana na wizi mkubwa wa kura kutokea. Nashukuru Mungu niliamua kucheza mbali na siasa.

Huo ulikuwa sio uchaguzi mkuu ulikuwa uchaguzi ndani ya chama cha Jubilee kupata mgombea wa kwenda kupambana na mgombea wa chama cha NASA. Je maoni yako mambo yatakuwaje uchaguzi mkuu August 2017
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…