Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
not to that extentHilo la demokrasia nzuri wala halina mjadala na usiliwe hapa. Watu kupanga njama za kuuana au kuteka watu mbona Tanzania ni kinara? Mmesahau, Igunga, Arumeru?
kwa hyo wangekua wakubwa ingekua sawa AU?watu bhanaKweli Inasikitisha sana
lakini kwa kipindi jama hiki
kenya haya mambo niyakawaida kutokea
Hili si Geni
japo huu ni unyama ulio pitiliza
watoto wadogo sana hao!!
Kama hujui, hilo aliloandika jamaa ni dongo...!!! Anaamini kwmb ingekuwa ni kipindi cha awamu ya 4 wangeweza hta kumuomba JK awasuluhishe.Sisi huwa tunajisuluhisha wenyewe...! Hukumbuki, alikuja Koffi Annan ati anasuluhusha huko Zanzibar, alichemsha. Baadaye sisi tukakaa kama wanafamilia wa Tanzania tukayamaliza. Sisi ni Taifa teule!
AMINI NAWAAMBIENI KIONGOZI WA AFRIKA KUINGIA KATIKA UFALME WA MUNGU N RAHISI KWAKE TEMBO KUINGIA KWENYE TUNDU LA SINDANO SIO YEYE,yan viongoz wanahisi madaraka ndio PEPO YA DUNIA so sad,hawajui walitendalo
Hope iwe hata Tanzania wang'ang'ania madaraka wataogopa labda
baadhi yao wazungu wako poa sio ss ving'ang'anizi sana adi tunauaKiongozi wa wapi ataingia Ufalme wa Mungu? Wa Kizungu au?
baadhi yao wazungu wako poa sio ss ving'ang'anizi sana adi tunaua
Afu kuna watu walikua ving'ang'anizi kwelNionapo hivi nakumbuka wale madaktari waliotaka kwenda kule.....
RAIS JOSE MUJICAWazungu gani hao waliokuwa poa?
Na wewe unajua maana ya pacha? Pacha maana yake ni vitu viwili.Unafahamu maana ya triplet au unandikaandika tu maneno ya kiingereza yakikujia kichwani.. Triplet ni mapacha watatu.. Sasa, hao mapacha? Mivyeti feki hiyo .. Mxxxx
Mbona na sisis tumeshaanza zamani. Ben yuko wapi? etc na tusiowajua. tumewatangulia wakenye kuua/kupotezaWameanza mambo yao!