Watoto wa Mjini Dar

FARIDA fashions yuko LONDON,she refuses to grow old,bado tunagongana naye kwenye ma night club.
 

huyu mbabe king sabata aliwahi kutolewa mkuku mitaa ya osterbay baada ya
kutaka kumfanyizia mwana wa kiume wa soldier mmoja baada ya mechi ya mpira uwanja wa osterbay shule ya msingi. sabata aliongoza kikundi cha wababe na kumfuatilia kijana mpaka kwao kijana akaingia ndani na kutoka na gun.
 

pamoja na hayo mi nakumbuka mashati yalikuwa yanaitwa "slim" ambayo yalikuwa yanatokea uganda kama sikosei na yaliitwa hivyo kutokana na uganda watu walikuwa wanaondoka kwa ugonjwa mpya uliojulikana kama "slim" ambao baadae ukaitwa ukimwi.
 
oops


au gt hukutaka wengine wachangie tuu lol
 
Kati yenu nani alienda kwenye lile disko la pale SALENDA BRIJI lilikuwa linaitwa SINSEI?
 
kuna mbabe mmoja alisoma tambaza alikuwa anaitwa peter lee nadhani alikuwa anaishi ilala (miaka ya 75-76). jamaa alikuwa ndio mtaalamu wa kutumia milosis kwenye mpambano.
 
DUH..MMENIKUMBUSHA MBALI SANA WANA JF

MWARABU MUDI MASI aka KINYWA PASIPO FUNIKO..
BRAZA KHERY...
CHARLES WA CHANG'OMBE..

KUNA MTU ANAJUA MWAKIKINGI ALIPO? HAMZA MGOMBAWATU?
 
Walikuwa mabaharia wenyewe ukiwauliza wototo wa taifa kubwa ni nani? watuambia wototo wa Temeke, sasa sijui walifika vipi? nimesoma naona wengi ni story za kupewa hakuna mwenye fani! kwani ni ujanaja kuwajua wazee wa shamba? kama ndiyo kweli mbona hamuendi. Kumbuka banadari yenyewe ipo temeke.
 
jamani,nani anamkumbuka mwalimu KHAN,aliwahi fundisha tambaza,hii teacher ilikuwa sio ridhiki,inakamatia waziwazi,nakumbuka kama ilikuwa na pikipiki
 
Game Theory,
Haya mkuu wangu lete habari za mjini....
K - tea shop ndio maskani kuna mpya gani tena!
 
Kati yenu nani alienda kwenye lile disko la pale SALENDA BRIJI lilikuwa linaitwa SINSEI?

Mkuu, unayejiita mtoto wa mjini, mbona unajiumbua? Hakuna kitu kama SINSEI. Karibu na daraja la salenda palikuwa na Italian Club. Mbele kidogo palikuwa na San Sui. San Sui ilikuwa kwenye hoteli ya Sea View ambayo siku hizi imebadilishwa kuwa Courtyard Hotel. Hata sisi wakuja tulikuwa tunajimwaga humo. Commodores ( Easy n.k.), Santana, Millie Jackson, Brass Construction n.k. mtindo mmoja. Hamna bolingo wakati ule.
 
Duh

Machizi mnaniacha hoi ile kinoma

hivi kuna mtu anamkumbuka yule demu alikuwa anaitwa SHUSHU dingi yao ndiye alikuwa ana own LANGATA SOCIAL CLUB

Shushu HAKUWA na dingi aliyekuwa ana own Lang'ata social club. Hiyo club kabla haijauzwa ilikuwa inamilikiwa na majirani zao na akina Shushu (nyumba opposite kabla hawajahamia Kinondoni na kuuza ile ghorofa yao). Mmiliki/mwasisi alisha aga dunia miaka mingi iliyopita, R.I.P.

Shushu alikuwa na kaka yake mmoja mtundu sana, jina Zidadi... alikuwa ana penda kuendesha pikipiki kwa sana n alikuwa anatumia muda mrefu pale kwa akina "Bubu", ukipita kwenye corridor mojakwa moja kwenye ile nyumba ya mgongo wa tembo unakutana na servants quarter ambayo akina Malima na mdogo wake Msafiri na jamaa wengine ndimo walikuwa wanapoa...na Costa alikuwa anakuja kusalim jamaa zake pale.


Btw, Firimini yuko wapi siku hizi?

My two cents for the thread and am out.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…