Watoto wa Mjini Dar

Watoto wa Mjini Dar

WAKUBWA,mnawakumbuka akina PAILONGA,jamaa limedunda sana pale holiday inn.kuna jamaa lingine SPEAR,hii mijamaa yote ya kuja lakini ilitesa kiaina.Nani kasema jogoo wa shamba hawiki mjini?

Pailonga yuko pale kwa ma HAMMERS , UPTON PARK ana maduka mawili ya nguo na si haba. Sometimes na mimi huwa nampitia pale kuchukua viwalo kwa ajili ya jamaa bongo si unajua tena kama hatujamsupport mbongo mwenzetu sijui tutamsupport nani


Huyu jamaa naye ni katika ma HUSTLERS wachache ambao nawaheshimu sana. Halafu basi ukimuibukia ijumaa pale lazima mwende mpale Biriani chimbo fulani hivi....yaaani jamaa sasa hivi alitakiwa awe mwinyi tuuu na hana noma ukiishiwa wee mtumie text tuu atakuambia wee njooo utapata £1000 au £2000 sema ndio hivyotena credit crunch hali ngumu lakini mshkaji tupo na anaendela kudunda kama kawaida


Huyu naye ni kati ya jamaa wa countryside abao sisi watu wa mjini hatuoni taabu kuwapa mabinti wa kwetu huku pwani waoe kwa saabu ameweza kuadapt nasi vidhuri tuuu
 
jamani kuna mtu anayo picha ya ule MBUYU wetu wa OYSTERBAY...ukitokea salender bridge basi utauona uko kwenye kona pale

nasikia kuna mpuuzi mmoja kule halmashauri ya jiji alitaka ukatwe! ,ara ya mwisho nimepita pale wameweka tangazo eti watu wasifanye shughuli zao mchana....I was very upset about it.

Wao mbona wanaiba mamilioni mchana kweupe na hakuna anayewafanya kitu? sie tukienda kuvunja maKombe yetu pale ishakuwa Big DEAL

Actually i am looking forward kwenda kuzika mbuzi mzima mzima pale very soon...sasa kama kuna mtu hapendi then akanywe sumu


By the way kama kuna mtu anayo picha yake ailete

nishaitafuta kule michuzi blog sijapata kitu
 
GAME THEORY,mambo gani haya sasa!!!!!!! picha ya mbuyu ya nini? au mganga kakupa masharti?
DAR imeharibika brother,siku hizi kuna sijui bendi inaitwa twanga mchele pepeta,ingine inaitwa wazee wa pamba kudo impact almuradi tafrani tupu.nilihuduria leaders club nikaona mauzauoza tu.hizi bendi zinatajataja majina ya watu wa sweken.kweli jiji limeingiliwa.
 
Mnamkumbuka BOB RICHARD?

GT

Bob Richard mbona yupo hapo hapo London. Nilipopita mitaa hiyo miaka 2 iliyopita niligumiana kwenye ka-party fulani hivi mitaa ya North huko Ma- Edmonton. Amechoka ki-aina na ucheck bob kaacha design kajibutua.
 
May I? nakiri, mimi sio mtoto wa mjini. more like 'mtu-wa-makamo-wa-mjini' tena mhamiaji
sio mzaliwa. But I must admit. I really enjoy reading this thread. There are some characters mentioned here of who I was familiar with, although never acquainted with, during my years of being a resident of our City. It is really exciting to know their 'behind-the-door' stories as narrated here by GT, Matuta, FMES and other contributers. Big Up!
 
jamani kuna mtu anayo picha ya ule MBUYU wetu wa OYSTERBAY...ukitokea salender bridge basi utauona uko kwenye kona pale

- Mkuu GT umenikumbusha ule mbuyu noma, "umeua" vijana wengi sana maana nasikia ukiwa unaendesha usiku kupitia ule mbuyu, basi unaona mara mbuzi wanakatiza bara bara mara watu wasioeleweka, ukiwakwepa tu umeunywa nomaa kichizi, kesho washikaji wanajipanga mkao wa kula pilau kwa wingi,

mara ya mwisho ulimuondoa Abasi Senga, si unamkumbuka yule dogo riziki riziki wa Marehemu Mbwana, aliyekuwa director wa Immigration under Mwinyi aliyeacha mkewe kwa ajili ya huyu dogo, yaani noma sana, au?
 
GT

Bob Richard mbona yupo hapo hapo London. Nilipopita mitaa hiyo miaka 2 iliyopita niligumiana kwenye ka-party fulani hivi mitaa ya North huko Ma- Edmonton. Amechoka ki-aina na ucheck bob kaacha design kajibutua.

ebwana kweli leo nimepewa NYETI kuwa alipopata kitabu kama kile cha BABA chum! akakimbilia TABORA kufanya biashara na BAKHRESSA ambaye nasikia sikuhizi hatoi CREDIT

sasa sijui kama Bob karudi tena kwa bi mkubwa au ndio kaamua kutokomea juu kwa juu
 
- Mkuu GT umenikumbusha ule mbuyu noma, "umeua" vijana wengi sana maana nasikia ukiwa unaendesha usiku kupitia ule mbuyu, basi unaona mara mbuzi wanakatiza bara bara mara watu wasioeleweka, ukiwakwepa tu umeunywa nomaa kichizi, kesho washikaji wanajipanga mkao wa kula pilau kwa wingi,

mara ya mwisho ulimuondoa Abasi Senga, si unamkumbuka yule dogo riziki riziki wa Marehemu Mbwana, aliyekuwa director wa Immigration under Mwinyi aliyeacha mkewe kwa ajili ya huyu dogo, yaani noma sana, au?

Duh1 Hivi Abasi snga NAYE ALIVUTA? noma ile mbaya

Mie kusema ukweli nadhani wangeuacha tuu ule mbuyu sema wagepanda miti huu upande wa bara bara ili wasiopenda kuona watu wanaoga uchi mchana pale wasiudhike


Hivi watu hawajiulizi ilikuwaje KONOIKE waligoma kuutaka ule Mbuyu pale St Peters?

BTW

Hivi kuna mtu anajua akina FUNDIKIRIRA na akina BAGHDELLA waliishia wapi?


halafu mnaombwa mstay tuned kuhusus akina SONGAMBELE

maana bila femili hizo Maomini Mikumi inakuwa haona kitu


btw

ES


Hivi unajua aliko MUSA FIDO DIDO? jamaa wa kipemba alikuwa maskani ni Salamander lakini nasikia sasa hivi yuko NYC

wot about PHILEMON CHACHA na DEO alikekuwa anafanya kazi ALLIANCE Air?


And how can i forget bwana FADHILI wa BRITISH AIRWAYS aliyekuwa kinara wa kSNICH kwa immigration UK kama ulikuwa unakwenda kuzama?
 
Last edited:
jamani hivi SABU wa pale Immigration mnajua aliko?


what about yule Mpemba wembamba hivi naye alikuwepo mle

of course bila kumsahau ABBAS bonge la mtu ambaye naye alikuwa yuko sana pale
 
fido-dido liko kwa obama,rasta kwa sana,more cultured then bob marley,lili fight sana kwenda unyamwezini.this guy is one of a kind linakumbuka fadhila.kila likidondoka mitaani thank you kwa wingi
 
kumbe abasi senga alikufa kwa mzinga? radio mbao zilitufanya tu believe alianguka toilet au was it mbwana who met his fate in the toilet?
 
Alpha yuko s unajua naye aliuvamia mji kichwa kichwa na kuanza kutembea na wake za watu eventually watu waka catch up naye...mengine siwezi kuyasema humu kwani ni too graphic yaliyomkuta kijana Alpha

Anyway sasa hivi yukpo mjini ana share nadhani in one of them magazines za weekly na naona posho ya Ephraim Mafuru wa Vodacom ina mkeep huyo Alpha going which is all good if you know what i mean

Lile dula lake la Karibu hotel lilifungwa lakini kama hustler yoyote yule mjini bado ana survive.

One again I cant knock the brothers hustle

Alphas alikuwa anachukua simu zilizotumika uk anawekea jumba jipya anauza bei kubwa.Ile issue yake na cheyos iliisha? Kuna washikaji wawili wa baghdella wako atl hapo na mwingine mitaa ya Midwest watakuwa wanajua yuko wapi
 
Hivi unajua aliko MUSA FIDO DIDO? jamaa wa kipemba alikuwa maskani ni Salamander lakini nasikia sasa hivi yuko NYC

- Mkulu Musa, afya yupo ma-Brooklyn, last time nilipokuwa NY kwa bahati tu nilikutana naye kwenye ma-highway akiwa amepotea, alikuwa fit sana na mzinga wa Range Vogue, na kimwana cha kinyamwezi hivi ung'eng'e kichizi hivi, halafu patner marasta meeeengi! duh lakini alikuwa in-four si unajua majuu hasa unyamwezini hakumtupi mtu mwanangu!

GT check nitakutwangia soon, namalizia something!
 
kumbe abasi senga alikufa kwa mzinga? radio mbao zilitufanya tu believe alianguka toilet au was it mbwana who met his fate in the toilet?

- Eeeh bwana Abasi alipata ajali pale kwenye mbuyu, Mbwana alijipiga risasi mwenyewe,

- Abasi nilikula naye primary, kaka yake mmoja alikua baharia, lakini familia nzima mpaka old wao walikuwa riziki riziki noma kichizi, nakumbuka sometimes old ilikuwa inabidi aje shule kwenye mkutano na waalimu, duh mwendo wake tu ilikuwa noma sana, yaani haste haste hivi!

Wakulu wa Chang'ombe na Temeke Wailes, vipi King Sabata yupo au alisharudisha namba?
 
kuna senga mbili ziko london,mmoja nadhani ni mrisho na ingine husband ya diana(ex ATC employee)
huyu king sabata ni lile jitu mmoja nyeusi hivi kama inachechemea?
 
kuna senga mbili ziko london,mmoja nadhani ni mrisho na ingine husband ya diana(ex ATC employee)
huyu king sabata ni lile jitu mmoja nyeusi hivi kama inachechemea?

- Sawa sawa, mrisho naye alikuwa line moja na abasi noma, diana ndio yule danish wa kibk mlight skin hivi aliyazaa na Maneti, au?

- Sabata sawa sawa jaluo hivi alikua mbabe wa Kinondoni Muslim Secondari, na kudandia mabasi ya UDa si unajua enzi zile unaweza kudandia mabasi na ulikuwa ujiko sana na mtama kwa watoto, watoto kwa wingi eeeh! na kucheza sana mpira!
 
Dogo elewa kuwa chama langu haina maana nami nilikuwa mvuta bangi kama wao, bali nilikuwa mshabiki wa timu Nzige Army ambayo makazi yalikuwa pale makuti na mimi ndio mitaa niliyokulia after-all nilikuwa dogo wa primary school tu.

Hope umeelewa


Duuu,Nzige Army umenikumbusha mbali.Vijana walikua wanakutana pale kwa Mzee mohamedi kiduka-Mpwapwa street.

Ila hao vijana wa kiboko msheli wengi wamevuta.
 
Duh

Machizi mnaniacha hoi ile kinoma

hivi kuna mtu anamkumbuka yule demu alikuwa anaitwa SHUSHU dingi yao ndiye alikuwa ana own LANGATA SOCIAL CLUB

dem mwenyewe alikuwa rangi rangi hivi...nadhani sasa hivi atakuwa kawa LIGOBOLE FULANI

looooooooong time


jamani hivi kuna mtu anajua what ALUTA is up to au na yeye ana fanyakazi benki? maana naona ma braza ambao maisha ya ulaya na USA yalipowashinda wengi wako mabenki wanakula HAPPY
 
Duh

Machizi mnaniacha hoi ile kinoma

hivi kuna mtu anamkumbuka yule demu alikuwa anaitwa SHUSHU dingi yao ndiye alikuwa ana own LANGATA SOCIAL CLUB

dem mwenyewe alikuwa rangi rangi hivi...nadhani sasa hivi atakuwa kawa LIGOBOLE FULANI

looooooooong time


jamani hivi kuna mtu anajua what ALUTA is up to au na yeye ana fanyakazi benki? maana naona ma braza ambao maisha ya ulaya na USA yalipowashinda wengi wako mabenki wanakula HAPPY

Aluta yuko GTV pale. Nilikutana nae pale kama wiki mbili zilizopita. Siku hizi ana rasta. Atakuwa ni mtangazaji wa Magic Fm or something.

Duh umenikumbusha Shushu. Kaka yake sijui kama yuko hai...maana alikuwa teja ile kinoma.

Hivi kuna yule Farida Fashion sijui yuko wapi siku hizi?

Halafu kuna mtu anamkumbuka jamaa mmoja hivi alikuwa muuza mitumba maarufu pale Manzese. Jamaa alikuwa anapenda kuvaa yale masuruali ya Mc. Hammer na Suspenders.

Halafu kuna mshikaji mmoja hivi alikuwa anakaa Kariakoo pale. Alikuwa anaitwa Hilal Fresh. Nafikiri alikuwa mchanganyiko wa mhindi na mwarabu. Kuna mtu anajua yuko wapi?
 
Back
Top Bottom