kadoda11
JF-Expert Member
- Jan 6, 2011
- 21,453
- 20,746
wakati wewe unaandaa wanao ili waje kuajiriwa hapo baadae,obama anawandaa wa kwake kuwa watawala,as to the reason y he travels with them quite often.make them able to gain experience in international politics.inasemekana hao mabinti hata speech za mshua wao huwa wanazipitia na wanajua leo atagusia nini.safi sana obama