Hata hao wengine kapigwa tu hapo wakwake hawazidi watatu ahaaaaDiddy ana watoto 6 tu huyo Mwingine Quincy nyuma siyo wake.
Kwa wenzetu kuna kitu kinaitwa ku.adopt watoto, hapo watoto wawili amewaasili (adoption) which means ni watoto wake kabisa na wana haki kama watoto wa kuwazaa,Hata hao wengine kapigwa tu hapo wakwake hawazidi watatu ahaaaa
Kabisa! We ni mzee wa "ndio nani huko Daslam"? 😀😀😀Basi njoo kwangu binti kiziwi I hope ID yangu ni familiar kwako.
Big yule Notorious!?????P.didy alikua anamiliki lebo inaitwa BADBOYS REC LABEL,Akamsaini BIGGIE(B.I.G)..Na mafanikio ya biggie small yameanza chini ya pddy...
Hata huku ipo sema ustawi wa jamii wana masharti magomu sanaKwa wenzetu kuna kitu kinaitwa ku.adopt watoto, hapo watoto wawili amewaasili (adoption) which means ni watoto wake kabisa na wana haki kama watoto wa kuwazaa,
Adoption mtoto anakuwa na haki kama mtoto wako, kawa.adopt wakiwa bado ni wadogo under 5 yrs wamekulia maisha ya kibwanyenye...soma maana ya adaption utajua
Akitokea Diddy amekufa, watapata haki sawa na watoto wengine wa kuwazaa
P.Diddy ni msanii wa kutoka nchi gani? wengine tunaishi huku Vijijini ndani ndani.Kabisa! We ni mzee wa "ndio nani huko Daslam"? 😀😀😀
Sawa tumewaona
Sasa tuwekeeni na familia zenu sasa tuzione
Ova
Diddy ni Foster father wa Quincy sababu alimuadapt akamlea na KP hivyo ingawa hakumzaa ila anahesabika ni mwanae.Diddy ana watoto 6 tu huyo Mwingine Quincy nyuma siyo wake.
tuwaone basiKanizidi hela nimemzidi watoto
Kukosa kazi, we kiazi nn, usiku wote huu unategemea nifanye kazi gani zaidi ya kuperuzi jukwaani.
Hujapewa homework na mwl. Ukamaliza ulale.
Wametawanyika kila mkoa kuwakusanya labda nikodi aboodtuwaone basi
nadhani kuna tofauti ukiwa adopted na kulelewa na mama mzazi na baba wa kambo.Diddy ni Foster father wa Quincy sababu alimuadapt akamlea na KP hivyo ingawa hakumzaa ila anahesabika ni mwanae.
nadhani kuna tofauti ukiwa adopted na kulelewa na mama mzazi na baba wa kambo.
bro!
quincy ana baba yake yupo mpaka sasa nayeye ni msanii,mtunzi , producer (Al B Sure), na hilo jina alipewa kwasabbu yA LEGEND quincy JONES.
huyo quincy siyo adopted .
kusema tu Diddy ni good and nice step father
uwenda!URL unfurl="true"]https://metro.co.uk/2020/10/02/diddy-son-quincy-brown-reveals-truth-adoption-13357661/[/URLho
Bro!Diddy’s son Quincy on being adopted by hip hop legend
Quincy was taken in by the Combs family at the age of three.metro.co.uk
Jamaa ni mkongwe na ana mchango mkubwa sana kwenye muziki wa hip hop MarekaniPamoja mkuu,tangu anamiliki badboy rec label huku akimfuga rapper bora dunia B.I.G NOTORIOUS...