Watoto wa "Single mama" jifunzeni kwa Diamond Platinumz kuishi na baba zenu wa kambo

Watoto wa "Single mama" jifunzeni kwa Diamond Platinumz kuishi na baba zenu wa kambo

Ncha Kali

JF-Expert Member
Joined
Sep 19, 2019
Posts
15,335
Reaction score
29,114
Ndiyo, nawakumbusha tu. Kila siku utasikia Anko Shamte piga YOPE! Anko Shamte! Ankali wa Taifa! Yaani hadi unatamani kabisa kuoa single mama. Hii si kwa bahati mbaya, kijana anamkubali baba’ke wa kambo. Na hii ndiyo furaha na tulizo la mama’ke.

Sasa kuna hawa wengine, kuna muda hata salamu tu ni kama wanalazimishwa. Acheni hizo, mpende na kumtukuza baba wa kambo kwa heshima zote.

Nani hapendi kupiga YOPE?
 
Tatizo anapokuwa na umri mdogo kuliko mwanaye wa kambo, sijui nani atamwamkia mwenzake?
 
Diamond ametufundisha kuwa baba wa kambo ni wa muhimu kuliko baba mzazi.
Kwanza mababa mazazi yanazinguaga unakuta anko shamte anamheshimu diamond il baba mzazi anataka kumtawala kama mtoto.
 
Kuna mama mmoja kitaani kaolewa na mshikaji umri wetu. Tumekubaliana kama masela mshikaji akiwa peke yake tunampa ya masela "oya niaje,, mambo niaje,inakuwaje".
Ila akiwa na mama yetu tunaamkia shikamoo mama, shikamoo baba.
Tumefanya hivyo ili mama yetu asituchukie kuona hatumheshimu mtu anaemkaza. Wamama huwa wanawachukia watu wasiowapa heshima vibenten wanaowakaza.

Diamond is brave. Mpe heshima anaemkaza mama yako hata kinafiki ili usinunue ugomvi na chuki ya mama yako.

Ovaa
Chivundu.
 
Kule Kiembe Mbuzi kuna jamaa yetu moja wa kuitwa Jomo alimpa mitaa Babaake wa kambo kaishia Segerea. Alitoka huko na upele ndio akawa chizi kabisa
 
Back
Top Bottom