Jidu La Mabambasi
JF-Expert Member
- Oct 20, 2014
- 16,419
- 26,594
Alichosema na kugusia Mwenyekiti wa CCM Mwanza ndg Diallo majuzi juu ya baadhi ya mapungufu ya utawala wa Awamu ya Tano yanaungwa mkono na sisi wapenda chama.
Chama ni mawazo ya wanachama na si mtu.
Hivyo mtu akikosea, kuchambuliwa ni lazima na ndio kukijenga chama.
Moja ya imani ya chama ni kusema kweli Daima na Fitina kuwa mwiko.
Ndg Diallo alisema kweli na bila kumung'unya maneno.
Inasikitisha kwa UVCCM kutumika kama vibaka wa kisiasa.
Ati wanamuonya Ndg Diallo ambaye kiprotokali yuko juu ya uwezo wao wa kufikiri na hata kichama.
Wanatetea mtu kuliko hoja.
Kulikuwa na mapungufu makubwa ndani ya CCM na katika Awamu ya Tano, hivi vitoto vya UVCCM vilitegemewa kama vijana kuja juu kuainisha mapungufu hayo.
Sasa vimeanza kujigeuza kuwa vimamluki vya baadhi ya watu.
Vinatakiwa vijikite katika hoja na si vinginevyo.
Chama ni mawazo ya wanachama na si mtu.
Hivyo mtu akikosea, kuchambuliwa ni lazima na ndio kukijenga chama.
Moja ya imani ya chama ni kusema kweli Daima na Fitina kuwa mwiko.
Ndg Diallo alisema kweli na bila kumung'unya maneno.
Inasikitisha kwa UVCCM kutumika kama vibaka wa kisiasa.
Ati wanamuonya Ndg Diallo ambaye kiprotokali yuko juu ya uwezo wao wa kufikiri na hata kichama.
Wanatetea mtu kuliko hoja.
Kulikuwa na mapungufu makubwa ndani ya CCM na katika Awamu ya Tano, hivi vitoto vya UVCCM vilitegemewa kama vijana kuja juu kuainisha mapungufu hayo.
Sasa vimeanza kujigeuza kuwa vimamluki vya baadhi ya watu.
Vinatakiwa vijikite katika hoja na si vinginevyo.