Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mijitu msio na akili na mijinga mijinga ndivyo mlivyo.Moshi wamekutana na hasira ya Mungu baada ya kushangilia kifo cha mwendazake.
Corona imechapa familia ya mbowe
Corona ina jambo lake na ukoo wa nyumbu this time,kapake mafuta ukae mkao wa dozi.Mijitu msio na akili na mijinga mijinga ndivyo mlivyo.
Sasa “mabeberu” wa Marekani waliokufa mpaka sasa kufikia laki sita ni wafuasi wa Mbowe?
Laanakum!
Hata kwenye level ya ndama havijafika bado viko kwenye level ya Ndilanha mbobhe.Hivyo vitoto vinataka vijipambanue kuwa vidume, kumbe ni vindama tu vinavyonya na kuelekezwa na wanaowapa maziwa na kuwaelekeza cha kufanya.
For sure ni vibaka wa kisiasanimependa hiyo UVCCM ni vibaka wa kisiasa
Vibaka hawa wanashindwa on one principle, vikishindwa kutetea ukweli heri vikae kimya.For sure ni vibaka wa kisiasa
Mkuu sie CCM Asili tunajua kwamba huvyo vibaka vinatumika.Wale si UVCCM pasee bali ni baadhi ya nyumbu wa mwendazake wanaojaribu kuharibu hali ya hewa ndani ya CCM.
Nani asijejua kwamba jamaa alikuwa na matatizo ya akili?
Kwa taarifa yenu hampambani na Dialo, mnapambana na vigogo wa CCM wengi saana.
😆😆😆😆Alichosema na kugusia Mwenyekiti wa CCM Mwanza ndg Diallo majuzi juu ya baadhi ya mapungufu ya utawala wa Awamu ya Tano yanaungwa mkono na sisi wapenda chama.
Chama ni mawazo ya wanachama na si mtu.
Hivyo mtu akikosea, kuchambuliwa ni lazima na ndio kukijenga chama.
Moja ya imani ya chama ni kusema kweli Daima na Fitina kuwa mwiko.
Ndg Diallo alisema kweli na bila kumung'unya maneno.
Inasikitisha kwa UVCCM kutumika kama vibaka wa kisiasa.
Ati wanamuonya Ndg Diallo ambaye kiprotokali yuko juu ya uwezo wao wa kufikiri na hata kichama.
Wanatetea mtu kuliko hoja.
Kulikuwa na mapungufu makubwa ndani ya CCM na katika Awamu ya Tano, hivi vitoto vya UVCCM vilitegemewa kama vijana kuja juu kuainisha mapungufu hayo.
Sasa vimeanza kujigeuza kuwa vimamluki vya baadhi ya watu.
Vinatakiwa vijikite katika hoja na si vinginevyo.
Haha..ww n ccm asili...mfyuuu...kwanza kwa jinsi unavyoandika uozoo huna hata sifa ya kuitwa mwana ccm..hakuna wajinga wa aina hii ccm..ww utakuwa wa saccos ya mboe pale hai kilimanjaroMkuu sie CCM Asili tunajua kwamba huvyo vibaka vinatumika.
Na vigogo hao ni wale walioingizwa na Mwendazake kinyemela, virusi kama vya kina Bashiru na Polepole.
Mama Samia na akae chonjo , watamsumbua sana 2025.
Sina kibali cha kuwajibu watu wajinga wajinga!Haha..ww n ccm asili...mfyuuu...kwanza kwa jinsi unavyoandika uozoo huna hata sifa ya kuitwa mwana ccm..hakuna wajinga wa aina hii ccm..ww utakuwa wa saccos ya mboe pale hai kilimanjaro
Huu ni upuuzi umeandika.Moshi wamekutana na hasira ya Mungu baada ya kushangilia kifo cha mwendazake.
Corona imechapa familia ya mbowe
Enzi zile ukimkosoa malaika adhabu yake kifo.Diallo yupo sahihi japo amechelewa kutoa maoni yake.Kwanini wewe hukumkosoa pale alipokwepa kodi ya zaid ya 2bilions? Kwanini hukutoka na kumtaka aache ushenzi huo? Wewe nae ni hewa tu na hatuwataki ndani ya chama.
Kwa andiko hili wewe si CCM.
Aliyekufumua marinda kakuweza kweli kweli,huna akili hata kidogo
Mbona umepasuliwa marinda na jpm na hatuwaambii watu, tumekuacha unalia tu.Aliyekufumua marinda kakuweza kweli kweli,huna akili hata kidogo
Wewe choko mwandamizi nani asiyekujua hapo Lumumba, umeliwa sana kiboga ndiyo maana huna adabu kama Nabii Tito tu.Mbona umepasuliwa marinda na jpm na hatuwaambii watu, tumekuacha unalia tu.
Sent from my INE-LX1r using JamiiForums mobile app