Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
duuh!inaelekea ni mtabiri mzuri sana..unaweza kuta hamna kituHawa watoti ni Bab Kubwa.CDM mmelamba dume.
Mbona waandizi hawana tatizo jamani...Tatizo waandishi wetu wa habari weledi hautumiki kabisa, sana ni ushabiki tu hadi inafika mahali wanaharibu hata kama walikuwa na nia ya kupamba kitu kikubalike chumvi zinakuwa nyingi kisa tu wauze. Ili kuondokana na huo mfumo ifike mahali magazeti yawe ya bure kama Uingereza hivi, hizi projo zitaisha na watu wataandika vitu vya maana ili kupata wafadhili wa kazi zao.
Kumbe sio watoto wa Wasira bana.
Mzee Wasira hayuko sawa sawa...soemthing is missing somewhere.
Analinda maslahi yake tu at any costAna roho mbaya stephen wassira. Utawakanaje watoto wako?? watoto wa kaka yako??? what a shame....Kwa kweli huyu amekuwa kiongozi kwa bahati mbaya
kama umri wao unaruhusu kugombea ningeshauri mmoja wao agombee jimbo la steven wasira'yule mzee anatakiwa kupotea katika ulimwengu wa siasa
Wewe acha kuchukia nyara ya serikali!! ha ha
Akina Wasira wapo wengi,ila Stiven wasira yupo mmoja. Hivyo huwezi kutaja wasira bila kufafanua Wasira gani.