Superb2014
JF-Expert Member
- Jul 29, 2017
- 9,266
- 7,426
Hatari sana.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Naunga mkono hoja.Hawa ni makomandoo! Serikali inasubiri nini isiwapokee kwenye Jeshi la Wananchi na kuwapa mafunzo zaidi? Mtu unasafiri kilometer 200 chini ya basi linakwenda 120km/h umejishika na springi utashindwa nini vitani?
Mbona hawa cha utoto,vipi wale wanaosafiri juu ya mabehewa ya treni,vipi wale waozama ndani ya matenki ya oil kwenye engine room ya meli na wanatoboa hadi ulaya.Hawa wapelekwe wakasomee ujasusi watakuja kulisaidia Taifa
Hivi hizo mbinu wanapewa na nani na wana practice nyakati gani
Inasikitisha sana, wanatakiwa wawe shule sio huko kuhatarisha maisha yao.Hiyo ni suicidal commando
Wazungu wanavyo finance uzazi wa mpango barani Africa wengi wanachukulia poa nakusema kuwa wanampango wa kutumaliza tufe tuishe.Hii ni aibu kwa taifa na ushahidi kuwa, kama taifa, tuna kazi kubwa kuwaondoa watu wetu kwenye umaskini wa kutengenezwa. Shame on us as a nation. Iko wapi asali nao warambe?
Mazingira hawana wa kuwasimamia kuhusu malezi.Inasikitisha sana, wanatakiwa wawe shule sio huko kuhatarisha maisha yao.
Mtegenezee uwezo wa kutafuta kitu. Sio kumuachia kitu.Hakuna kitu kinanimalizia amani yangu kama kuwaza kufa kabla sijamuachia mwanangu vitu!
WrongMtegenezee uwezo wa kutafuta kitu. Sio kumuachia kitu.
Teach him/her how to fish
Ningekuwa mimi ndio dereva, ningewapakiza ndani ili wamalizie safari yao. Binafsi imenigusa sana ujasiri waliokuwa nao hao madogo...Hawa ni makomandoo! Serikali inasubiri nini isiwapokee kwenye Jeshi la Wananchi na kuwapa mafunzo zaidi? Mtu unasafiri kilometer 200 chini ya basi linakwenda 120km/h umejishika na springi utashindwa nini vitani?
It's possible, Kuna mmoja walimkuta Yani amejaa vumbi mpaka kwenye kope.Wanaupata wapi huwo ujasiri wa kukaa chini ya basi linalotembea?
Kabisa yaanHawa ni makomandoo! Serikali inasubiri nini isiwapokee kwenye Jeshi la Wananchi na kuwapa mafunzo zaidi? Mtu unasafiri kilometer 200 chini ya basi linakwenda 120km/h umejishika na springi utashindwa nini vitani?
Sure sure mkuu kumbe tuko pamoja Ni wanaume wasioongozwa na fear of death which is the greatest and highest fear for human being. Sijui wanipe mmoja jamani. Huwa napenda mno vijana Kama Hawa. Unakumbuka wale waliokaa kwa meli sijui sehemu gani mpaka ulaya kwa siku 11 majini na Kuna mkenya mmoja Alibana kwa tairi la ndege mpaka AmsterdamHawa ni makomandoo! Serikali inasubiri nini isiwapokee kwenye Jeshi la Wananchi na kuwapa mafunzo zaidi? Mtu unasafiri kilometer 200 chini ya basi linakwenda 120km/h umejishika na springi utashindwa nini vitani?
Umenikumbusha American Ninja ya Michael Dudikof. Ile scene yuko chini ya uvungu wa gari. Ni movie, lakini hawa watoto wamefanya kweli. Hatari sana aisee!Hawa ni makomandoo! Serikali inasubiri nini isiwapokee kwenye Jeshi la Wananchi na kuwapa mafunzo zaidi? Mtu unasafiri kilometer 200 chini ya basi linakwenda 120km/h umejishika na springi utashindwa nini vitani?
Hujamuelewa mtoa mada, anamaanisha labda mtoto ana miaka kumi ndo unaondoka duniani, je hapo utakuwa umemfundisha nini? Ila ukimwachia mali na kuna wasimamizi wazuri ataishi vizuri hata bila ya kuwepo wewe. Usione watu wanajilimbikizia mali kwa fujo sio wajinga wanaangalia ya mbele sana.Mtegenezee uwezo wa kutafuta kitu. Sio kumuachia kitu.
Teach him/her how to fish