Mwamuzi wa Tanzania
JF-Expert Member
- Apr 7, 2020
- 15,486
- 45,256
- Thread starter
- #21
Yes.Si ndo wale wanaoitaga watoto wao mbwa??
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Yes.Si ndo wale wanaoitaga watoto wao mbwa??
Umaskini mbaya sanaUende uswazi sasa, mama kavurugwa na mikopo ya nyonya damu alafu mtoto amletee za kuleta ataoga kipigo, na mitusi ya nguoni juu kama anamtukana mtu mzima mwenziwe, mpaka huwa najiuliza hawa viumbe wasio na hatia mmewazalia nini? Shame.
Umasikini ni kama njaa, vyote huleta hasiraUmasikini ni janga na hua wanazaa ili kupata ahueni ili nawao wapate kitu chakukionea mana hana mwingine wakumuonea.
Point ya msingi sana. Kuwa na familia sio shida, shida ni kuwa nayo na hujui hatma yao kwa lolote.Ukiwa masikini jitihadi kuzingatia sana uzazi wa mpango