Watoto wanafunzi wa madrassa wamuua Imam aliyekua anawalawiti


Wavulana wakajua dawa ya usingizi ya kumpa mtu ?

Ila wavulana hawakuwa na uwezo wa kushitaki mahala popote ulimwenguni?

Hawana wazazi ? ama hao watoto walitelekezwa ? ama hio madrasa ni ya bweni ? Kwamba wanafanyiwa ulawiti Leo kisha kesho wanarudi tena ? Kwamba kurudi tena kulawitiwa ni rahisi kuliko kuua ?

Hata hivyo kwenye hio habari kuna sehemu inasema kuna madai kutoka kwa baadhi ya wanafunzi hao kuwa kuna watu waliovalia mask (vinyago) usoni ndio ambao wamemuua Mwalimu wao na wao kushurutishwa kunyamaza.


Kila la kheri wafia dini.
 
Naona kwenye Uzi wa kinachoendelea Ukraine umekimbia
 
Kwahiyo Kwahiyo kiongozi tuna comment kwa kiswahili au kiingereza?

Anyway, watoa mada zote zinazofanana na zako binafsi nawaona kama hawana akili, hawajiongezi na uwezo wao wakutafakari na kujua mambo ni mdogo saana.

Na hii haijarishi umeleta mada kama hizi zihusuzo uislam, ukristo au dini nyingine.

Kama unataka kukosoa au kujua jambo basi liwe umelitoa kutoka kwenye vitabu vyao vya dini maana hivo vitabu kwao ndio muongozo wa Kila jambo.

Kuhusu sijui shekhe, ostadhi, mchungaji au askofu kafanya jambo flani hili haliaminishi kuwa yeye kafanya vile kwa maelezo ya dini yake, kafanya vile kutokana na udhaifu wa ubinadam alionao kwani kuwa na elimu au cheo Cha dini alichonacho hakimuondolei udhaifu wake wakuwa binadam.

Kwahiyo watu lazima wamtazame yy kwa muktadha wake na sio dini yake.

Dunia ina waumin wakikrsto Zaid ya 3b na wakiislam Zaid ya 2b Kwanin uje uwahukumu hao billion kadhaa kwa ajili ya kosa la mtu mmoja?

Au kwenye vitabu vyao vina maelekezo ya wao kufanya hivo kutokana na nafasi zao kwenye dini??

Wala hutoonekana hodari au mjuzi wa mambo kwakufanya hivo.

Mwenye utimamu atakuona mnafiki Na mfitinishaji
 
Akina Anti Abuu, Anti Kessy, Anti Omy, wanatengeneza huko kwenye ilmu na ni vigumu kukuta mtu anaitwa Anti Emmanuel
kumbe wewe akili huna.ufaransa,israel. Marekani nchi zinazoongoza kwa harakati za kutetea mashoga.wanaitwa majina gani?
 
Si kuna watu humu wanadai kwamba wakristo ndio mashoga sasa huyo Imam ni mchungaji wa kanisa gani huko India..🤷😛

Tunasubiri wale masheikh wa mabikra 72 waje watueleze maanake hatuelewi hii imekaaje sasa.
Ndio.ujue waislamu hawataki upuuzi huo,ndio wakamuuwa.Lakini kwa wengine,asingeuliwa,ingefanyika vikao vya maridhiano,na ndio ikawa imekwisha hiyo.
Huo ushoga kwa Tz upo Coastal regions kwa sehemu kubwa,jiulize wanaishi kina nani huko?
Coast region wapo dini tofauti na wasiokuwa na dini,,wengi hufikiria mikoa ya Pwani wapo watu wa dini aina moja.Tena huko ndio utakuta mjomba,mkristo,mtoto muislamu au baba -,muislamu mtoto mristo au hana dini.Na ndio ilivyo,mpaka ndugu moja,wana imani tofauti.
 
No hiI dini ina ushenzi mwingi sana,
Hakuna ushenzi wowote,tofautisha dini na mtu aliyeingia kwenye hiyo dini.Ndio ukaona huyo kauliwa,kwa sababu kenda kinyume na maharishi ya dini ya kiislamu.Ingekuwa wa dini nyingine mpaka leo,angekuwa anapeta,na kungefanyika maridhiano,yakaisha hayo.
 
Du tabia zile zile alizokuwa nazo Mudi the defiler jamaa kazirithi
Kwa hiyo wewe umewahi kufanyiwa hivyo nini na huyo mtu anayeitwa Mudi,ndio ukajua nimfanyaji hivyo.Pole sana,lakini jitahidi uache,usiendelee.Kila msifia mvua,ujue imemnyeshea.
 
Nawapongeza watoto hao! Lakini usije kushangaa mamlaka za India zikiwatia hatiani na kuwahukumu!
Kadiri nyakati zinavyosonga mbele ndivyo wanadamu wanapoteza hofu ya Mungu.
Sasa hivi katika Ukatoriki na Uislam hakuna Mungu kabisa!
 
Hili litazamwe kwa jicho la kipekee. Kuna point-kitu hapo.
 

Hehehe jikite kwenye hoja ndugu, nimeleta hadi chanzo cha taarifa.....mimi huwa naweka na kunukuu chanzo mwenyewe ukajisomee, haya yote.
Haya mambo ya kuparamia vitoto hamjaanza leo

Muhammad aliikamilisha ndoa yao kwa tendo la unyumba wakati 'Aisha alipokuwa na umri wa miaka tisa."Bukhari juzuu ya 5 kitabu cha 58 sura ya 43 na.236, uk.153.
 
Yakupasa ubadilike hiki ufanyacho sio kizuri we Mluya.
 

Itakua kingereza kinakukanganya, tafuta mtu akutafsirie....
Mwanzoni wavulana walikua wanatoa ushahidi kuhusu watu waliovalia mask, polisi wakakagua CCTV zote na kuwahoji zaidi ndio hao watoto wakaamua kufunguka ukweli namna mkuu wenu alikua anawatafuna....
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…