Watoto wanajua madhaifu ya baba tu, kwaninii?

Watoto wanajua madhaifu ya baba tu, kwaninii?

Dr1991

Member
Joined
Dec 27, 2020
Posts
11
Reaction score
22
Habari za wakati wakuu, nimejikuta najiuliza hili swali, kwanini nature iko katili saana kwa wanaume? Yaani watoto wanajua madhaifu ya baba ila hawajui dhaifu la mama hata Moja,

Wanaume hatujajaliwa kuongea saana, na hata ukiongea kwa watoto madhaifu ya mama yao itakusaidia ninii?

Kuish na Hawa viumbe ni ngumu, kuish bila wao ni ngumu pia, chagua ugumu unaoupenda,
Mlale unonoo
 
watz wengii tunakojoaa mjinii 2025
Gf4vW-5WIAAhppX.jpeg
 
Habari za wakati wakuu, nimejikuta najiuliza hili swali, kwanini nature iko katili saana kwa wanaume? Yaani watoto wanajua madhaifu ya baba ila hawajui dhaifu la mama hata Moja,

Wanaume hatujajaliwa kuongea saana, na hata ukiongea kwa watoto madhaifu ya mama yao itakusaidia ninii?

Kuish na Hawa viumbe ni ngumu, kuish bila wao ni ngumu pia, chagua ugumu unaoupenda,
Mlale unonoo
Kweli kabisa mkuu madhaifu ya mama huwa unayaelewa ukishakuwa mtu mzima ukiwa mtoto ni nadra sana kuyajua.
I know this by experience.
 
Habari za wakati wakuu, nimejikuta najiuliza hili swali, kwanini nature iko katili saana kwa wanaume? Yaani watoto wanajua madhaifu ya baba ila hawajui dhaifu la mama hata Moja,

Wanaume hatujajaliwa kuongea saana, na hata ukiongea kwa watoto madhaifu ya mama yao itakusaidia ninii?

Kuish na Hawa viumbe ni ngumu, kuish bila wao ni ngumu pia, chagua ugumu unaoupenda,
Mlale unonoo
 
Hata kuanzisha uzi kama huu ni Udhaifu , Mwanaume ushajishushia hadhi...!

Piga kimya tu

Watakuelewa tu huko mbeleni...
 
Habari za wakati wakuu, nimejikuta najiuliza hili swali, kwanini nature iko katili saana kwa wanaume? Yaani watoto wanajua madhaifu ya baba ila hawajui dhaifu la mama hata Moja,

Wanaume hatujajaliwa kuongea saana, na hata ukiongea kwa watoto madhaifu ya mama yao itakusaidia ninii?

Kuish na Hawa viumbe ni ngumu, kuish bila wao ni ngumu pia, chagua ugumu unaoupenda,
Mlale unonoo
Hii dunia ishi ukijua uko peke yako na andaa kesho yako kwaajili yako. Fannya kila kitu kwa watoto na familia ila usisahau kuwa na mpango mahususi wako binafs baada ya miaka 60. Na usikae na mkeo miezi 3 sehem bila kutoka kwenda pengine na kurud. Mwanamke anatakiwa kutaman kukuona sio muda wote uko nae.
 
Hii dunia ishi ukijua uko peke yako na andaa kesho yako kwaajili yako. Fannya kila kitu kwa watoto na familia ila usisahau kuwa na mpango mahususi wako binafs baada ya miaka 60. Na usikae na mkeo miezi 3 sehem bila kutoka kwenda pengine na kurud. Mwanamke anatakiwa kutaman kukuona sio muda wote uko nae.
Noted with thank chief
 
Back
Top Bottom