Duuuh poleeeeh sanaaaa
Hili ni likango, inatakiwa uende kwa mtaalamu akakukate,
Kinakaa hapo ndani ya mlango wa haja kubwa, tafadhari sio bawaziri, ni kiuvimbe au kinundu ambacho unazaliwa nacho, hakiumi, wala huwezi kujua km kipo.
Fanya hima uwahi ukapate tiba kikikomaa hakitibiki, kuna lecturer yuko UDOM kapoteza watoto na wake zake wawili, kabaki na mtoto m1 tyuuh mkubwa sahivi, yeye naye halitibiki ko akioa au kutaka kuzaa watoto na mama wanakufa
Tafadhari sana fanya hima, vinginevyo utaishia kuona wenzio wakiitwa baba wee kwako n hollah, wahi kapate matibabu.
Nenda kwa wataalamu wa asili, duuuh poleeeh sanaaa.