Watoto wangu wote hufariki baada ya kuzaliwa au mimba kuharibika

Watoto wangu wote hufariki baada ya kuzaliwa au mimba kuharibika

Hilo ni likango, linamaliza watoto wote, yaan na ikikomaa haitibiki mkeo anakufa na mimba. Au wakati wa kujifungua.

Aseeeeh poleeee sanaaa.
asante mkuu,lakini nimefuatilia hii kitu ipo kwenye ukoo wetu kuanzia babu,baba,kaka,dada na mimi pia ila wenzangu wote walifanikiwa kua na familia kwangu mm imekua changamoto
 
Wewe unalogwa acha kuzubaa na hapo lazima kati ya baba au mama yako ndo wanaofanya hivyo maana kama ni mtu baki haiwezi kuwa mfululizo hivyo najua kuna watu watabisha ila ipo mifano mingi ya watu waliokumbwa na shida kama hizi ña walikuja gundua ni wazazi chukuwa hatua mapema kabla siku mbaya hazijaja
kwahiyo mkuu wazazi wangu hawataki niwe na familia?
 
Kwa upande wangu m naona uende kwa nabii anitwa Suguye au kwa Mwamposa haya mambo kwao n madogo sana mwnyezi Mungu anawatumia ipasavyo
nimeshakwenda mkuu na nina imani yote ila bado bilabila
 
Kapime damu zenu wewe na mke wako, kuna rafiki yangu alikuwa na case kama yako........ila alioa mke mwingine na watoto wanakua vizuri.....na mkewe anazaa vizuri alikoolewa..... Ilikuwa rahisi kuachana cos ni Muslims
 
Kaka pole kwa unayoyapitiaa, huko nyuma hukuwahi kuuumiza moyo wa bidada yeyote aliyekupenda sana ukaja kumuacha bila sababu??

#Tumaini la mwisho ni kwa Mungu tu.
Hapana mkuu hua sifikii hatua hiyo nikiona hatuwezani najitoa mapema
 
asante mkuu,lakini nimefuatilia hii kitu ipo kwenye ukoo wetu kuanzia babu,baba,kaka,dada na mimi pia ila wenzangu wote walifanikiwa kua na familia kwangu mm imekua changamoto
Kheeeeh poleeeh sanaaa, ndo uwahi kwa mtaalamu ukapate tiba, nawe uitwe baba km matakwa yako.
 
Kwa uzoefu wangu hiyo ni shida ya kiimani zaidi,kuna watu nishakutana nao wana shida kama hii ni mpaka pale walipofanya taratibu/matambiko ndipo mambo yalipokua sawa.
 
Ushauri wangu ni huu oa ndio uzae fullstop
 
Kapime damu zenu wewe na mke wako, kuna rafiki yangu alikuwa na case kama yako........ila alioa mke mwingine na watoto wanakua vizuri.....na mkewe anazaa vizuri alikoolewa..... Ilikuwa rahisi kuachana cos ni Muslims
ikiwa tofauti kuachana nae ni changamoto mkuu maana nimedate na wasichana 50+ sijaona faida yoyote zaidi ya kujilaumu tu baada ya kumaliza tendo..saiz nataka nitulie nae huyu kwanza nione mwisho wake
 
Kama watoto wanaozaliwa wanakua na homa za mara kwa mara na joto kali,kuna tatizo linataka kufanana na bawasiri ila sio bawasiri na sijui linaitwaje kitaalam ni kinyama sehemu ya haja kubwa mwanaume ukiwa na hilo tatizo ndio hutokea hayo matokea watoto wako kufariki wakiwa wachanga au mimba kuharibika halipo sana sababu nilipata maelezo kwa mzee fulani muda kidogo
Sawa Dr. Mandingo... PDX Bawasiri....

Prognosis ikoje Boss

Sent from my Nokia 1 using JamiiForums mobile app
 
Nilikuwa na ubongo mgumu Sana ila ilinibidi nielewe.
Vifo vya watoto na Mimba kuharibika ni mikono ya watu.
Wanga wanaopoa na kuwala. Vichanga.😔😔
 
Wakuu poleni na majukumu ya kujenga nchi..

Nimekuja kwenu kama mwana Jamii Forums nikiwa na uzoefu wa takriban miaka 10 na huu mtandao wetu pendwa unatusaidia kwenye mambo mbalimbali kwenye maisha. Nipo mkoani Dodoma kwa sasa ambapo nafanya biashara zangu na kupata riziki.

Nikiwa kama kijana na approach 30's nimekumbwa na matukio mfululizo ya kufiwa ama kuondokewa na watoto wangu punde tu wanapozaliwa wengine kabla ya kuzaliwa au hata muda mrefu baada ya kuzaliwa

Miaka ya hivi karibuni nilipita kwenye mahusiano na wasichana kadhaa, kati ya hao watano niliwapa ujauzito na mchanganuo wake ulikuwa kama ifuatavyo..

Wa kwanza alitoa mimba ikiwa na miezi minne ilimsumbua sana nusu na yeye aondoke na hakunipa taarifa juu ya hilo hadi nilipobaini na nikamuacha papo hapo.

Wapili aliharibikiwa mimba ikiwa na mwezi mmoja(huyu alikuwa na matatizo ya tumbo kabla ya kukutana na mimi alikuwa hashiki ujauzito hivyo alikuwa anajaribu kama amepona bila mimi kujua badala yake mimba ikaharibika).

Watatu alijifungua mapacha wanne kwa vipindi viwili tofauti na wote walifariki ndani ya wiki moja baada ya kujifungua.Yeye ni mwenyeji wa Tanga na ana uzao mzuri wa watoto mapacha.

Wanne alijifungua mtoto wa kiume mwaka mmoja uliopita na amekaa naye huku akimsumbua sana kwa homa za hapa na pale na wiki moja iliyopita nilipewa taarifa kuwa amefariki baada ya kuugua mfululizo.

Watano alishika ujauzito wa mapacha uliodumu kwa miezi sita na mimba ikaharibika pasi na kutegemea. Alichanganyikiwa sana maana alikuwa na matarajio mengi juu ya hao watoto pindi watakapozaliwa..

Kiujumla nimepoteza watoto 9 ndani ya miaka mitatu kwa sababu mbalimbali, hii kitu imekuwa ikinitesa sana na nashindwa kuelewa tatizo hasa ni nini na nini suluhisho lake maana napoteza viumbe wasio na hatia inaniumiza sana[emoji22]

Naombeni ushauri wenu juu ya hili tatizo linalonikumba nifanyeje niweze kuepukana nalo na kama ni mpango wa Mungu kwanini kila siku mimi ukizingatia umri nao unakwenda wazazi wanataka wajukuu.

Naombeni msaada wenu wa mawazo na ushauri juu ya suala hili
Hao wanawake wote uliwaoa?? Au ulikuwa unaZini tu?

Tubu kwa ajili ya uzinzi huu, muombe Mungu aanze na wewe kwa upya. Halafu oa mke wako, mwambie Mungu akupe watoto kupitia huyo mkeo. Kataa roho ya mauti juu ya uzao wako, jitenge mbali na maagano yote waliyofanya wazee au uliyofanya wewe. ANZA UPYA NA MUNGU, ATAKUTENDEA MAKUU
 
Kama watoto wanaozaliwa wanakua na homa za mara kwa mara na joto kali,kuna tatizo linataka kufanana na bawasiri ila sio bawasiri na sijui linaitwaje kitaalam ni kinyama sehemu ya haja kubwa mwanaume ukiwa na hilo tatizo ndio hutokea hayo matokea watoto wako kufariki wakiwa wachanga au mimba kuharibika halipo sana sababu nilipata maelezo kwa mzee fulani muda kidogo
mkuu kama hautojali waweza elezea zaidi juu ya hilo na tiba yake....
 
Nimesoma ushauri nimegundua wengi bado wana imani za kichawi na ushirikina na hapo hapo wana imani za Dini za ma beberu

Nenda hospital pima Rhesus factor ujue kama inaendana kati yako wewe na Mwanamke utakaembebesha mimba,


Hakuna uchawi wala ushirikina, pima RH kuna sindano mama mjamzito ataandikiwa kuchomwa kila akiwa na ujauzito kusudi Zygote asifie tumboni au mtoto asifariki baada ya kuzaliwa
 
Wakuu poleni na majukumu ya kujenga nchi..

Nimekuja kwenu kama mwana Jamii Forums nikiwa na uzoefu wa takriban miaka 10 na huu mtandao wetu pendwa unatusaidia kwenye mambo mbalimbali kwenye maisha. Nipo mkoani Dodoma kwa sasa ambapo nafanya biashara zangu na kupata riziki.

Nikiwa kama kijana na approach 30's nimekumbwa na matukio mfululizo ya kufiwa ama kuondokewa na watoto wangu punde tu wanapozaliwa wengine kabla ya kuzaliwa au hata muda mrefu baada ya kuzaliwa

Miaka ya hivi karibuni nilipita kwenye mahusiano na wasichana kadhaa, kati ya hao watano niliwapa ujauzito na mchanganuo wake ulikuwa kama ifuatavyo..

Wa kwanza alitoa mimba ikiwa na miezi minne ilimsumbua sana nusu na yeye aondoke na hakunipa taarifa juu ya hilo hadi nilipobaini na nikamuacha papo hapo.

Wapili aliharibikiwa mimba ikiwa na mwezi mmoja(huyu alikuwa na matatizo ya tumbo kabla ya kukutana na mimi alikuwa hashiki ujauzito hivyo alikuwa anajaribu kama amepona bila mimi kujua badala yake mimba ikaharibika).

Watatu alijifungua mapacha wanne kwa vipindi viwili tofauti na wote walifariki ndani ya wiki moja baada ya kujifungua.Yeye ni mwenyeji wa Tanga na ana uzao mzuri wa watoto mapacha.

Wanne alijifungua mtoto wa kiume mwaka mmoja uliopita na amekaa naye huku akimsumbua sana kwa homa za hapa na pale na wiki moja iliyopita nilipewa taarifa kuwa amefariki baada ya kuugua mfululizo.

Watano alishika ujauzito wa mapacha uliodumu kwa miezi sita na mimba ikaharibika pasi na kutegemea. Alichanganyikiwa sana maana alikuwa na matarajio mengi juu ya hao watoto pindi watakapozaliwa..

Kiujumla nimepoteza watoto 9 ndani ya miaka mitatu kwa sababu mbalimbali, hii kitu imekuwa ikinitesa sana na nashindwa kuelewa tatizo hasa ni nini na nini suluhisho lake maana napoteza viumbe wasio na hatia inaniumiza sana[emoji22]

Naombeni ushauri wenu juu ya hili tatizo linalonikumba nifanyeje niweze kuepukana nalo na kama ni mpango wa Mungu kwanini kila siku mimi ukizingatia umri nao unakwenda wazazi wanataka wajukuu.

Naombeni msaada wenu wa mawazo na ushauri juu ya suala hili
Pole mkuu... Jitahid kusali
 
Duuuh poleeeeh sanaaaa

Hili ni likango, inatakiwa uende kwa mtaalamu akakukate,
Kinakaa hapo ndani ya mlango wa haja kubwa, tafadhari sio bawaziri, ni kiuvimbe au kinundu ambacho unazaliwa nacho, hakiumi, wala huwezi kujua km kipo.

Fanya hima uwahi ukapate tiba kikikomaa hakitibiki, kuna lecturer yuko UDOM kapoteza watoto na wake zake wawili, kabaki na mtoto m1 tyuuh mkubwa sahivi, yeye naye halitibiki ko akioa au kutaka kuzaa watoto na mama wanakufa

Tafadhari sana fanya hima, vinginevyo utaishia kuona wenzio wakiitwa baba wee kwako n hollah, wahi kapate matibabu.
Nenda kwa wataalamu wa asili, duuuh poleeeh sanaaa.
Hiyo likango ni hatari sana
 
Back
Top Bottom