Watoto wangu wote hufariki baada ya kuzaliwa au mimba kuharibika

Watoto wangu wote hufariki baada ya kuzaliwa au mimba kuharibika

Nikuulize swali Naomba uwe muwazi
Unapoambiwa mwanamke ana mimba huwa unakuwaje
Furaha kupita kiasi au unakuwa na hisia gani?
Je huwa unakuwa karibu zaidi na mimba hiyo kwa mfano kumpetipeti sana mwenzio na kuwa unaangalia tu tumbo kutwa
Kama ni NDIO katika hayo Basi utakuwa na jicho la husda
Epuka kukaa nao pindi wanapokuambia wana mimba
 
Kacheck Rhesus factor, inachangia sana hali hiyo...
Nakazia hili....

Arudi akacheki tena kama ana Rh-Positive au Rh-Negative.....

Reason behind huwa ni,,,,,Kama Rh factor yake ni -Ve,,,basi wakati wa Ujauzito,,,Mwili wa mwanamke hukitambua kile kiumbe kama Threat na kukishambulia,,,,na hili ni kutokana na Rh-Ve ni wachache sana wenye nazo hapa Duniani...
Hili hupelekea mtoto kuzaliwa na matatizo au Mimba kuharibika mapema.....

Hili lina tibika,,,,nenda Hospital kwa Ushauri zaidi...
 
Nikuulize swali Naomba uwe muwazi
Unapoambiwa mwanamke ana mimba huwa unakuwaje
Furaha kupita kiasi au unakuwa na hisia gani?
Je huwa unakuwa karibu zaidi na mimba hiyo kwa mfano kumpetipeti sana mwenzio na kuwa unaangalia tu tumbo kutwa
Kama ni NDIO katika hayo Basi utakuwa na jicho la husda
Epuka kukaa nao pindi wanapokuambia wana mimba
Yani hua nakua na furaha kupitiliza na mara nyingi sipati nafasi ya kukaa nao pamoja napata nafasi kidogo sana..
 
Nadhani ufanye kitu kimoja.
Hakikisha wamama wote ulikuwa nao na wakabeba mimba zako. Una jua makundi ya damu blood group

Ili uone shida ya makundi unayokutana nayo, pili, naona Kuna kitu kinakosekana kwenye damu ya watoto wako zinashindwa kupanbana na mazingira zinayokutana nayo na kusababisha udhaifu wa miili na kufariki.

Jitahidi ujue unalala na mwanamke wa aina gani na kukuzalia watoto wenye matatizo.

Wewe na pamoja na wanawake wengine wanaotarajia kubeba mimba hakikisha hubebi mimba ndani ya miezi 6-3 ukiwa unamaandalizi ya mwili wa mama mtarajiwa kujiwekea virutubisho vyote na vyakutosha..

Waweza kuwa unawaza hvi lkn Allah SW angekuletea Mtoto mweny matatizo usingetamani kumzaa, maana utazaa mtoto mwenye matatizo makubwa Sana kutokana na upumfufu wa kinga na chakula tiba. Ule Milo muhimu Kwa wakati na ya kutosha
 
Nakazia hili....

Arudi akacheki tena kama ana Rh-Positive au Rh-Negative.....

Reason behind huwa ni,,,,,Kama Rh factor yake ni -Ve,,,basi wakati wa Ujauzito,,,Mwili wa mwanamke hukitambua kile kiumbe kama Threat na kukishambulia,,,,na hili ni kutokana na Rh-Ve ni wachache sana wenye nazo hapa Duniani...
Hili hupelekea mtoto kuzaliwa na matatizo au Mimba kuharibika mapema.....

Hili lina tibika,,,,nenda Hospital kwa Ushauri zaidi...
asante kwa ushauri mkuu
 
Kiukweli pole Sana, kama una imani ndogo waweza jiona km una mkosi dunia nzima
 
Yani hua nakua na furaha kupitiliza na mara nyingi sipati nafasi ya kukaa nao pamoja napata nafasi kidogo sana..

Basi ndugu yangu punguza sana hiyo furaha au kama ikiwezekana unakaa mbali nae kwa ajili ya mtoto
Uwe kawaida tu na huku ukimuomba Muumba sana
Zidisha sala na maombi
 
Huku mtaani Kuna majanga makubwa ya wamama kutoshika mimba na zinazoshika kuachia.

Kuna mama mmj alidiriki kuishi miguu juu Kwa uangaliz wa madaktari Hadi akazaa salama kabisa, wakina mama wanapashwa kuchunguza wao wenyewe mienendo ya maisha Yao ya kula na kupaka mafuta nk.
 
Huyo jamaa amchunguze vizuri yule mwanamke aliyemtelekeza isije ikawa amemtupia jini ila vyovyote vile we jamaa umetupiwa jini
 
Huyo jamaa amchunguze vizuri yule mwanamke aliyemtelekeza isije ikawa amemtupia jini ila vyovyote vile we jamaa umetupiwa jini
[emoji1] mkuu wewe unaamini ni jini tu hakuna kingine
 
Basi ndugu yangu punguza sana hiyo furaha au kama ikiwezekana unakaa mbali nae kwa ajili ya mtoto
Uwe kawaida tu na huku ukimuomba Muumba sana
Zidisha sala na maombi
Nitajitahidi mkuu,mwakani nitaleta mrejesho Mungu akijaalia
 
Kiukweli pole Sana, kama una imani ndogo waweza jiona km una mkosi dunia nzima
Acha tu mkuu,unaweza tamani utengwe kwa muda uwe peke yako dunia nzima ukitafakari matatizo yanayokuelemea[emoji1]
 
nenda mediko masta..
fanya vipimo vzr wata RULE OUT shida iko wapi.
usiingize imani za kishirikina kbs.
lbd km laana ya wazazi walikupatia ndo inaeza kukudhuru.

hakuna tatizo lisilo na tiba lbd kifo ndo hakina tiba.
Imani za kigeni zimewaathiri, Ilo ni agano limeblock uzao wako, nenda kwenye matambiko ufungue, wafia dini wengi hawataamini ilo.
 
Back
Top Bottom