ngara23
JF-Expert Member
- Aug 31, 2019
- 9,091
- 21,087
Kuna utamaduni umekuwepo wa kuwatumia watoto kuomba omba na vigoma vyao hasa katika mwezi Ramadhani
Huu ni udhalilishaji wa watoto wadogo na kuwajengea fikra duni za kuomba omba
Dr Gwajima Toka ofsini wasaidie hawa Watoto wanaomba omba waende shule wapate maarifa yake kuwafata baadaye kwenye maisha Yao
Kumjengea mtoto kuomba omba ni kumrithisha umasikini hakuna mtu atakuwa tajiri Kwa kuomba
Inafaa viongozi wa dini na madrasa wawafundishe watoto stadium za maisha na kujitegemea sio kuomba misaada
Nimeshangaa wamepiga vigoma vyao na filimbi nikatoka nje kuuliza kulikoni wakasema wanaomba, nikawambia me sio wa dini yenu, wakaomba sana nikawapa sh 2000
Hawa Watoto aliyewapa jukumu la kuomba omba, na wakiomba pesa wanapeleka wapi?
Wanaomba Kwa ajili ya Nini?
Au ni kama fashion tu
Huu ni udhalilishaji wa watoto wadogo na kuwajengea fikra duni za kuomba omba
Dr Gwajima Toka ofsini wasaidie hawa Watoto wanaomba omba waende shule wapate maarifa yake kuwafata baadaye kwenye maisha Yao
Kumjengea mtoto kuomba omba ni kumrithisha umasikini hakuna mtu atakuwa tajiri Kwa kuomba
Inafaa viongozi wa dini na madrasa wawafundishe watoto stadium za maisha na kujitegemea sio kuomba misaada
Nimeshangaa wamepiga vigoma vyao na filimbi nikatoka nje kuuliza kulikoni wakasema wanaomba, nikawambia me sio wa dini yenu, wakaomba sana nikawapa sh 2000
Hawa Watoto aliyewapa jukumu la kuomba omba, na wakiomba pesa wanapeleka wapi?
Wanaomba Kwa ajili ya Nini?
Au ni kama fashion tu