Watu 10,000 wakimbia makazi yao kisa machafuko Nchini Msumbiji

Watu 10,000 wakimbia makazi yao kisa machafuko Nchini Msumbiji

JanguKamaJangu

JF-Expert Member
Joined
Feb 7, 2022
Posts
2,780
Reaction score
6,607
Watu 7 wameuawa katika machafuko ambayo inaelezwa yanahusisha Wanamgambo katika eneo la Kaskazini mwa Msumbiji. Umoja wa Mataifa (UN) umesema watu 10,000 wamekimbia.

Machafuko hayo yametokea eneo la Cabo Delgado lenye gesi ambako Wanamgambo hao walianzisha uasi tangu mwaka wa 2017 na tangu wakati huo inadaiwa watu 4,000 wameuawa.

UN imetangaza kuwa itatoa msaada wa Dola Milioni 29.5 kwa Msumbuji kupitia mpango wa ugawaji chakula. Inadaiwa kuna ukiukwaji mkubwa wa haki za binadamu unaoendelea maeneo husika.

Source: VOA News

==================

Thousands Flee as Jihadist Attacks Resume in Mozambique

At least seven people have died in recent jihadi-related violence in northern Mozambique, local sources said Tuesday, as the United Nations said 10,000 people had fled their homes.

Attacks occurred in gas-rich Cabo Delgado province, where jihadis launched a bloody insurgency in 2017, sparking a regional military mission last year that had restored a sense of security.

Four people were beheaded in the remote village of Natupile, terrified residents who fled the area told AFP.

"People from Natupile took photos, so we know it happened," Antonio Kalimuka told AFP by telephone.

"I've already left with my family, but I haven't harvested my fields yet. I'll have to come back once it's safe."

Suspected jihadis last Wednesday killed two workers at an Australian-owned graphite mine, Triton Minerals, the company said.

"Two of our security/caretaker staff were fatally injured," it said in a statement.

The following day, southern African regional military forces staged an attack on insurgents in a forest in Macomia district north of Pemba, the provincial capital.

"During the joint operation, terrorists were killed and other suffered severe injuries," the mission said in a statement.

The military forces suffered one death and six injuries, it added.

The United Nations meanwhile estimated that 10,000 people had fled their homes over the last week.

The total number of displaced varies from month to month, but in May it was estimated at more than 730,000 by the U.N. refugee agency.

The United States on Tuesday announced aid worth $29.5 million for Mozambique through the U.N.'s World Food Program as diplomat Victoria Nuland visited the country.

"Displaced people were witness to killings, beheadings, rape, houses being burned, and abductions, and reported the kidnapping of several boys," British charity Save the Children said in a statement.

More than 80% of those forced to flee their homes are women and children, it added.

More than 4,000 people have been killed in Mozambique since 2017, according to the conflict watchdog ACLED.

Some 3,100 troops from several African countries deployed in Cabo Delgado last June and retook control over much of the territory.

Diplomatic and humanitarian officials say the insurgents have since split into three groups.

One of them staged several attacks this month in Macomia, forcing aid groups to limit their operations.

The unrest has forced a halt to a $20-billion gas project by France's TotalEnergies, an investment that had symbolized Mozambique's dreams of using its mineral wealth to lift the nation from poverty.
 
Serikali za ukanda huu ndizo zinachangia hao jihadists kufanya ugaidi wao kwani hawako serious kupambana nao.

Magenge ya wahuni tu kama hao watawezaje kusumbua serikali inaonekana kuna watu wa serikali wako pamoja na hao wahuni.
 
Un kwani kule Ukraine mumeshamalizana nao? 🤣
Mbona muna nyege sana na afrika?
 
Rwanda ndio ilichukua hiyo tenda.
[emoji1][emoji1] ndio hua unadanganya wenzako hivyo?
Screenshot_20220615-183255.jpg
 
Rwanda ndio ilichukua hiyo tenda.
Rwanda ilitangulia sio kwamba ilichukua hiyo tenda , though napata ukakasi huenda Rwanda inahusika kweny kufadhili hv vikund , ni hofu yang tu
 
Serikali za ukanda huu ndizo zinachangia hao jihadists kufanya ugaidi wao kwani hawako serious kupambana nao.

Magenge ya wahuni tu kama hao watawezaje kusumbua serikali inaonekana kuna watu wa serikali wako pamoja na hao wahuni.
Magaidi hawana station maalumu ya kuwafata Ili uwapeleke kuzimu wakahi bikira wo ni SAwa na vibaka hawana maskani ushambulia na kutoweka tu
 
Si kuna vijana wa kagame kule wazee wa pori kwa pori si wanakula nao sambamba inakuaje sasa hao wapumbavu wanasumbua
 
Magaidi wote hawana nguvu nje ya propaganda za vitisho. Kuna yule Ali Baghdad mmiliki wa kundi la ISIS alikuwa akipost video za mikwara za kutundika vichwa vya watu Ili kuwatisha USA watisheni aliliwa timing akitokea msikitini akasakiziwa mbwa kisha akapewa bullets atakuwa kuzimu Saa hizi nadhani atakuwa anajitafunia bikra zake.
Ideology zingine ni za kipumbavu yaani uuwe watu Ili ukifa ukatafune bikira 72 na pombe sasa vinapatikana duniani kwann ujisumbulie huko.
Wale wapumbavu wa ISIS walisema watapeperusha bendera yao White House walichowafanyia Mungu anajua
Mungu hawezi iacha dunia mikononi Mwa wapumbavu.
 
Majeshi ya kutoka S/Africa,Angola, Tanzania,Botswana, Lesotho yako huko pia yameshindwaje kuwamaliza hao maharamia?
Jibu lako ni sawa na kusema tumeshindwaje kuwamaliza vibaka mtaani.
 
Hakuna kundi lolote la kigaidi lenye kuweza kupambana na jeshi la nchi yeyeto magaidi hawana uwezo wa kupambana mda mrefu yaani kulirudisha jeshi nyuma, magaidi ushambulia watu wasio na hatia na pasipo na ulinzi, jeshi likifika tu upotea na kutawanyika thus ni vigumu kuwamaliza kwa haraka. Maana hadi mfike washafanya uharibifu wanapotea au wanajichanganya na raia, njia aliyotumia USA kuwamaliza Ili ni kuwafata huko huko kwa raia na kuwawahisha wawahi bikira 72 kuzimu kwa maana bora raia wachache wasio na hatia wapotee lakini utaokoa wengi wasio na hatia.
 
Back
Top Bottom