Watu 10,000 wakimbia makazi yao kisa machafuko Nchini Msumbiji

Watu 10,000 wakimbia makazi yao kisa machafuko Nchini Msumbiji

Mjomb
Hakuna kundi lolote la kigaidi lenye kuweza kupambana na jeshi la nchi yeyeto magaidi hawana uwezo wa kupambana mda mrefu yaani kulirudisha jeshi nyuma, magaidi ushambulia watu wasio na hatia na pasipo na ulinzi, jeshi likifika tu upotea na kutawanyika thus ni vigumu kuwamaliza kwa haraka. Maana hadi mfike washafanya uharibifu wanapotea au wanajichanganya na raia, njia aliyotumia USA kuwamaliza Ili ni kuwafata huko huko kwa raia na kuwawahisha wawahi bikira 72 kuzimu kwa maana bora raia wachache wasio na hatia wapotee lakini utaokoa wengi wasio na hatia.
Mjomba umekazana sanaaa na hao bikira 72, hivi inadhani ukisema hivyo ndio unautukana uislamu au una lengo la kuwaudhi waislamu?
Mbona kuna wengine wanaozeshana wanaume kwa wanaume na kufirana hadharani bila hata uwoga na dini yao inaruhusu huwasemi vibaya?
 
Mjomb

Mjomba umekazana sanaaa na hao bikira 72, hivi inadhani ukisema hivyo ndio unautukana uislamu au una lengo la kuwaudhi waislamu?
Mbona kuna wengine wanaozeshana wanaume kwa wanaume na kufirana hadharani bila hata uwoga na dini yao inaruhusu huwasemi vibaya?
Wapipametajwa waislamu,kwani magaidi ni waislamu?
Hakuna dini ukiacha ile ya shetani inaruhusu ushoga au kufungisha mashoga.
Shoga ni mtu aliyelaaniwa kwake Hakuna dini.
 
Wapipametajwa waislamu,kwani magaidi ni waislamu?
Hakuna dini ukiacha ile ya shetani inaruhusu ushoga au kufungisha mashoga.
Hivyo hivyo hakuna dini ukiacha ile ya wazungu imeruhusu kuua wengine bila ya hatia
 
Hivyo hivyo hakuna dini ukiacha ile ya wazungu imeruhusu kuua wengine bila ya hatia
We umechanganya propaganda za uislamu na ugaidi hivi ni vitu viwili tofauti kabisa.Uislam sio ugaidi bali magaidi wamejifichia kwenye dini Ili kupata wafuasi wapumbavu wasioijua dini.
Makundi yote ya kigaidi yanapigania maslai ya dini kujifichia kwenye dini lakini hakuna hata moja linalopigania dini pale.
Swali kama wanapigania dini mbona wanafanya makatazo ya dini,mfano kuua wasio hatia,kuuza madawa ya kulevya na biashara haramu ikiwemo kuuza watu Ili wapate pesa za kununua silaha.
Sasa dini inaruhusu kuua, kuuza madawa ya kulevya,usafirishaji haramu watu,kuuza viungo vya watu,nk.
Makundi yote makubwa mfadhili wake ni Westerners kwa ajenda ya kuelekea New world order Ili kuupunguza nguvu uislamu na kuubomoa uislamu kwa kupanda chuki kwenye Jamii.
Magaidi ni wahuni inatakiwa washughulikiwe.
 
Kwa
We umechanganya propaganda za uislamu na ugaidi hivi ni vitu viwili tofauti kabisa.Uislam sio ugaidi bali magaidi wamejifichia kwenye dini Ili kupata wafuasi wapumbavu wasioijua dini.
Makundi yote ya kigaidi yanapigania maslai ya dini kujifichia kwenye dini lakini hakuna hata moja linalopigania dini pale.
Swali kama wanapigania dini mbona wanafanya makatazo ya dini,mfano kuua wasio hatia,kuuza madawa ya kulevya na biashara haramu ikiwemo kuuza watu Ili wapate pesa za kununua silaha.
Sasa dini inaruhusu kuua, kuuza madawa ya kulevya,usafirishaji haramu watu,kuuza viungo vya watu,nk.
Makundi yote makubwa mfadhili wake ni Westerners kwa ajenda ya kuelekea New world order Ili kuupunguza nguvu uislamu na kuubomoa uislamu kwa kupanda chuki kwenye Jamii.
Magaidi ni wahuni inatakiwa washughulikiwe.
Kwahiyo unaposema wanaenda kupata 72 ni magaidi?
 
Rwanda ilitangulia sio kwamba ilichukua hiyo tenda , though napata ukakasi huenda Rwanda inahusika kweny kufadhili hv vikund , ni hofu yang tu
Rwanda wanahusikaje na vikundi vinavyopigania jihad, nyie acheni upotoshaji bwana.
 
Mjomb

Mjomba umekazana sanaaa na hao bikira 72, hivi inadhani ukisema hivyo ndio unautukana uislamu au una lengo la kuwaudhi waislamu?
Mbona kuna wengine wanaozeshana wanaume kwa wanaume na kufirana hadharani bila hata uwoga na dini yao inaruhusu huwasemi vibaya?
kemei ujinga sio kukosoa wanaokemea ujinga
 
Rwanda wanahusikaje na vikundi vinavyopigania jihad, nyie acheni upotoshaji bwana.
nmesema ni hofu yangu , bila kusahau vita ni kilimo kizur tu chenye maslai mapana
 
Back
Top Bottom