Watu 10 Waliopotea na kutoonekana tena Duniani

Watu 10 Waliopotea na kutoonekana tena Duniani

Duniani kuna majiniwatu, Hawa wana sifa za kupotea tu huwezi kujua kaishia wapi mtabaki kuhisi. Ili ujue huyu ni jini mtu, ni waoga kuangalia wenzao macho kwa macho, hii ni kwa sababu mbni zao ni nyeusi kama zetu lakini haziakisi kitu anachoona mfano, wewe uliye MTU na Mimi tukkangaliana machoni lazima ujione machoni kwangu nami nitajiona kwenye macho yako, wenyewe macho humeza picha. Ya pili hawaendagi safari za kuface jua. hawaangaliagi jua lilipo safari zao, asubuhi huenda magharibi na jioni hurudi mashariki ikitokea anaenda mashariki asubuhi basi aendako hajawataarifu kuwa na kuja, hivo hivo na jion pia. Kwahyo kama walipotea na wana hizi sifa waache tu waende
Duuuu aiseee


Salalee! [emoji13]
 
Mk
Mkuu Habib Hanga aliuawa huko zanzibar pembezoni mwa airport!! Nilisoma habari zake kwa kina tena zikiambatana na baadhi ya picha!! Mchonga naye hakuwa nyuma kwa kufagia njia!
Duuu Habib Hanga huyu wa Jf ? Aka The bold ?
 
Huyo D.B.Cooper nilisomaga story yake, duh hatar
 
Back
Top Bottom