Watu 10 Waliopotea na kutoonekana tena Duniani

Watu 10 Waliopotea na kutoonekana tena Duniani

Mk
Point kabisa. Ndugu wa Kassim Hanga kule Zanzibar hadi kesho wanaulizia lilipo kaburi lake lakini ndio hivyo tena wanaishia kuzungushwa.
Mkuu Habib Hanga aliuawa huko zanzibar pembezoni mwa airport!! Nilisoma habari zake kwa kina tena zikiambatana na baadhi ya picha!! Mchonga naye hakuwa nyuma kwa kufagia njia!
 
Najua kidogo sana kiongozi, ningekuwa najua deep ningeandaa Uzi, ila amini tupo nao mitaani na ni watu maarufu sana, tena wao ndiyo waliyoanzisha mambo ya kuvaa miwani wakidanganya miwani ya jua kumbe lengo kuficha mboni, kwa kuwa wengi huwa wanakuwa maarufu sana na hutisha sana hivo huwavutia watu wengi na kuigwa ovyo, Nani hajawahi kuvaa miwani mieusi hapa tuliopo??

Unajua source, take care.

Nice to hear that bro.

Ila kiongozi hawa viumbe si zipo sign zao kama ukitaka kujua kuwa huyu ni binadam au sio bro...?

Na pia, naskia kuwa hawawezi kuna kwa muda mref sana wakawawakiwa kwenye umbo la binadam mkuu. Au...?
 
Nice to hear that bro.

Ila kiongozi hawa viumbe si zipo sign zao kama ukitaka kujua kuwa huyu ni binadam au sio bro...?

Na pia, naskia kuwa hawawezi kuna kwa muda mref sana wakawawakiwa kwenye umbo la binadam mkuu. Au...?
Nadhani ndio maana wanapoteaga ghafla....aka "watoto wa dawa"
 
Back
Top Bottom