Watu 10 Waliopotea na kutoonekana tena Duniani

Watu 10 Waliopotea na kutoonekana tena Duniani

Najaribu kuvuta picha ya mtu aliyejibadilisha na kuishi maisha mengine sijui anajisikiaje?
Majasusi wengi wao hufanya hivyo. Hulazimika kufanya hivyo kwa usalama wao zaidi。
 
Ina maana dunia nzima watu wanapotea na kutpjilikana walipo ni Tanzania marekani tu??!!
 
Point kabisa. Ndugu wa Kassim Hanga kule Zanzibar hadi kesho wanaulizia lilipo kaburi lake lakini ndio hivyo tena wanaishia kuzungushwa.
Inaumiza sana tena sana!!!yaani unajiuliza na kujipa moyo lini atarudi!
 
Mkuu usiseme kapotea kizembe. Hii dunia ina mambo mengi ambayo mengimlne ni nadra sana kuyaona katika uwezo wa kawaida.
Kikawaida mtu ukisikia kiongozi mkubwa kama waziri mkuu ameuwawa lazima utashangaa sana. lakini kwa kupotea waziri mkuu. kama ilipotea kuku. hilo linanishangaza sana na ninaona dhahili kwamba uzembe ulitumika.
 
Je Azory au Ben akipatikana kesho au siku za usoni utajibuje? Soma tena kichwa cha uzi kisha uelewe vizuri mkuu, hauitaji masters ujue nini namaanisha.
Na hao uliowaweka Jee wakipatikana leo ama keso utajibuje?
 
Back
Top Bottom