BARD AI
JF-Expert Member
- Jul 24, 2018
- 3,591
- 8,826
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa ameliambia Bunge leo kuwa Fedha hizo zimelipwa kutoka katika Mifuko ya hifadhi ya Jamii ya NSSF na PSSSF ikiwa ni agizo la #RaisSamia kutaka wahusika walipwe stahiki zao.
Fedha hizo ni sehemu ya michango ya Wafanyakazi 14,516 walioondolewa kwa kukosa sifa baada ya zoezi la Uhakiki wa Vyeti uliofanyika kati ya Oktoba 2016 hadi Aprili 2017 kutokana na maalekezo ya #HayatiMagufuli aliyotoa Machi 6 2027 wakati akipokea ripoti ya Uhakiki wa Vyeti.
Aidha, kuhusu malipo ya Wastaafu hadi kufikia Februari 2023, Waziri Mkuu amesema Tsh. Trilioni 1.74 zimelipwa kwa wastaafu 41,949 wa mfuko wa #PSSSF, na upande wa #NSSF wastaafu 43,832 wamelipwa Tsh. Bilioni 72 hadi kufikia Februari 2023.
Fedha hizo ni sehemu ya michango ya Wafanyakazi 14,516 walioondolewa kwa kukosa sifa baada ya zoezi la Uhakiki wa Vyeti uliofanyika kati ya Oktoba 2016 hadi Aprili 2017 kutokana na maalekezo ya #HayatiMagufuli aliyotoa Machi 6 2027 wakati akipokea ripoti ya Uhakiki wa Vyeti.
Aidha, kuhusu malipo ya Wastaafu hadi kufikia Februari 2023, Waziri Mkuu amesema Tsh. Trilioni 1.74 zimelipwa kwa wastaafu 41,949 wa mfuko wa #PSSSF, na upande wa #NSSF wastaafu 43,832 wamelipwa Tsh. Bilioni 72 hadi kufikia Februari 2023.