Hata wangekutwa na kosa mahakamani Bado wangerejeshewa michango yao waliochanga. Utumishi uko hivyoMkuu usijitoe fahamu kuwa hawa watu wamefanya kosa la udanganyifu, imagine kuna wangapi wanateseka bila Akira ingawa Wana vyeti hali..it's not fair walitakiwa kushtakiwa kabisa!