Hayo maeneo ya kiteto, simanjiro na moshi vijijini kule chini TPC ng'ombe akifa haachwi, anashambuliwa fasta. Kuna dume la ng'ombe lilijifia wenye ng'ombe wakaliacha machungani, wenyeji baada siku moja kuona wenye ng'ombe hawana taimu nalo wakalivamia na kuanza kujikatia nyama kwa kadiri walivyoweza kubeba. Wakarundika nyama majumbani mwao zikawaozea