Watu 4 wanaotuhumiwa ‘kutumwa na afande’ kumlawiti na kumbaka binti mkazi wa Yombo Dovya Mkoani Dar, Wafikishwa Mahakamani

Hao ndiyo wafiraji/mashoga?
NB;Anayemuingilia mtu mmoja kinyume na maumbile hutambulika kwa sifa ya kuwa ni shoga.
 
Huna akili!
 
Hoja ya uthibitisho wa video ni ya msingi kwa sababu maelezo ya historia ya kesi, ushahidi muhimu ni wa video.

Binti ndiyo aliyebakwa na wazazi walienda kufungua kesi polisi kwamba binti yao kubakwa....Je Binti alibakwa kweli? Kwa maelezo ya polisi baada ya kumuhoji alisema kwamba alibakwa hivyo wakaona ni njema wampe mtu wa saikolijia na kumtenga safe house kwa ushauri/nasaha ,Kuthibitisha kwamba alibakwa/lawitiwa hapa ni swala la wataalamu-Forensic investigation.

Binti alitekwa akapelekwa ghetto akabakwa - Hapa litaitishwa gwaride la utambuzi.
 
Ili ionekane kabakwa ilipaswa kuwe na nini?Wazazi ndiyo wanathibitisha kwa lipi?Mtaalamu wa saikolojia ndiyo atathibitisha ubakaji akiwa anamuhoji?
 
What about the simcard ?who was it registered to?Does it belong to the suspect smoking what looks like cannabis and filming himself while the Act was happening?Is smoking cannabis legal?Does the simcard belong to the victim?Hayo majibu yakipatikana ndiyo wataelekea huko kwenye device.Ushahidi ni mzito hata kwa kingereza au kiswahili hawatoboi,anayetoboa ni aliyewatuma,wakijifanya wajuaji sana kuna watalamu wa cyber crime wamguse mpaka aliyewatuma.
 
kuna madai kuwa mwanamke huyo alikuwa anajiuza, yaani kazi yake ni ukahaba.
kama ni hivyo basi hapo hamna kesi.
labda washitakiwe kwa kosa la kusambaza picha za ngono.
Kununua mtu anayejiuza ni biashara halali? Na wewe unataka kuwa kama yulealiye hamishwa?
 
Polisi wanabadilika badilika kulingana na upepo unavoenda
Si wakuwaamini sana 🙆
 

Ninaona raia wanakomaa na "video" tu bila kujua mazito yatayowakumba mawakili wa serikali.

Bahati mbaya au nzuri mara nyingi kesi updates kwa Tanzania ni nadra sana, vinginevyo raia wangepiga sana kelele kuhusiana na matokeo ya kesi hii.
 
Vijana wanapooanaga Maku akili zinaruka

Sasa wamerisk maisha yao kiafya, kifedha na kila kitu kwa issue ambayo wangeipata hata kawa sabuni ya mia 100
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…