stormryder
JF-Expert Member
- Mar 23, 2013
- 3,776
- 5,786
Au amewaambukizaApimwe pia kama ameambukizwa Maradhi HIV
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Au amewaambukizaApimwe pia kama ameambukizwa Maradhi HIV
Changamoto kivipi? Video zipo ,binti aliyebakwa yupo ,sura za wabakaji wanaonekana live ,binti baada ya kubakwa aliumwa sana means alikuwa siyo mzoefu na jambo lile ni geni kwake.Changamoto ya hii kesi siyo ushahidi ila ni aina ya ushahidi utakaotolewa.
Ushahidi wa video na picha unaonekana rahisi sana ila kanuni zake za kuuwasilisha mahakamani ni ngumu kiasi.
Hahaha dogo acha porojo jamvin.
Huyo aliyetambuliwa kama MT.140105 ni mgqmbo au?Watu wanajua kuzusha sana bongo, walikuwa wanasema ni wanajeshi Sasa hao ni.wanajeshi wa wapi? Au huyo mmoja kuvaa likitambaa lenye rangi zinazofanana na Jeshi?Wahalifu huita mara nyingi KIONGOZI wao Kamanda, afande, hivyo kutaka neno afande haimaanishi ni afande kweli. Wapate adhabu Kali ili iwe fundisho kwa wengine maana kwa ujinga walioufanya tayari umeleta madhara kwa wasiohusika na kwa Taifa kwa ujumla
Huyo atajibeba mwenyewe. Mwanajeshi hatakiwi kuwa na tabia za kipumbavu kama polisi.Muonyeshe Ila madogo wamewachafua wenzao kibao wote wanaonekana Wazee wa kupakua kisamvu tu km Jezi zao za kisamvu kisamvu
HIV, Hepatitis, Na GonoApimwe pia kama ameambukizwa Maradhi HIV
Tunaomba picha km 10 za huyo mfadhili na mumewe tuwaone maana haieleweki hii kitu kwanini hawaonyeshwi?Changamoto kivipi? Video zipo ,binti aliyebakwa yupo ,sura za wabakaji wanaonekana live ,binti baada ya kubakwa aliumwa sana means alikuwa siyo mzoefu na jambo lile ni geni kwake.
Hakuna ugumu ,ushahidi upo wazi ,hapo iliyobaki kumjumuisha na huypo mafadhili wao afande washitakiwe kwa pamoja.
dah mpk unawasikitikia, vijana bado wadogo kabisaa hawa!Afande kawaponza na ukute waliliazimishwa na Afande wafanye kile kitendo!View attachment 3074234
WABAKAJI WAMEFIKISHWA MAHAKAMANI ✊🏽
.
Watu wanne wanaotuhumiwa 'kutumwa na afande" kumlawiti na kumbaka binti mkazi wa Yombo Dovya, jijini Dares Salaam leo Jumatatu Agosti 19, 2024 wamefikishwa mahakamani na kusomewa mashtaka mawili.
.
Watuhumiwa hao wamefikishwa katika Mahakama ya Kanda Dodoma na kusomewa mashtaka ya kubaka kwa kikundi (gang rape) na kumwingilia kinyume na maumbile binti ambaye hakutajwa jina lake mahakamani.
Mbona hawajaumia hata kidogo? Wasafi hivi walikua mahabusu gani hawa waremboView attachment 3074234
WABAKAJI WAMEFIKISHWA MAHAKAMANI ✊🏽
.
Watu wanne wanaotuhumiwa 'kutumwa na afande" kumlawiti na kumbaka binti mkazi wa Yombo Dovya, jijini Dares Salaam leo Jumatatu Agosti 19, 2024 wamefikishwa mahakamani na kusomewa mashtaka mawili.
.
Watuhumiwa hao wamefikishwa katika Mahakama ya Kanda Dodoma na kusomewa mashtaka ya kubaka kwa kikundi (gang rape) na kumwingilia kinyume na maumbile binti ambaye hakutajwa jina lake mahakamani.
Ni private au kurutu?Huyo atajibeba mwenyewe. Mwanajeshi hatakiwi kuwa na tabia za kipumbavu kama polisi.
Aliyewatuma lazima alikuwa na mawasiliano ya karibu sana na watu hao.Aliyewatuma ni rahisi sana kukana kwa sababu hakuna ushahidi wa moja kwa moja lakini kitengo cha cyber crime kikiamua kinaweza.Lazima kuna mawasiliano ya namna moja au nyingine.
Itasaidia sana hata akikwepeshwa mkono wa sheria sisi wana wa nchi tumalizane nao kimila.Tunaomba picha km 10 za huyo mfadhili na mumewe tuwaone maana haieleweki hii kitu kwanini hawaonyeshwi?
Kuna Lodge moja walikua wamechukua room kuendelea na shughuli zingine live kwa malipo kila saa 1 Usiku, uliza swali lingine haraka harakaMbona hawajaumia hata kidogo? Wasafi hivi walikua mahabusu gani hawa warembo
They look innocent kabisa.....DaahView attachment 3074234
WABAKAJI WAMEFIKISHWA MAHAKAMANI ✊🏽
.
Watu wanne wanaotuhumiwa 'kutumwa na afande" kumlawiti na kumbaka binti mkazi wa Yombo Dovya, jijini Dares Salaam leo Jumatatu Agosti 19, 2024 wamefikishwa mahakamani na kusomewa mashtaka mawili.
.
Watuhumiwa hao wamefikishwa katika Mahakama ya Kanda Dodoma na kusomewa mashtaka ya kubaka kwa kikundi (gang rape) na kumwingilia kinyume na maumbile binti ambaye hakutajwa jina lake mahakamani.
Tunaomba picha km 10 za huyo mfadhili na mumewe tuwaone maana haieleweki hii kitu kwanini hawaonyeshwi?
MT ni namba za wanajeshi wa kiume Mlinzi wa Taifa, wakikie ni MTMItakua Namba za leaving certificate labda atusaidie mwenzetu aliekaa rupango Muda mrefu anauzoefu wa Namba za wafungwa huyo mfungwa Namba ngapi kule mahabusu?
Kuna uwezekano kumblack mail mtuhumiwa kwa kumpa kesi ya umalaya ashindwe kutoa ushahidi unaomlenga afande aliyetajwa.Jeshi la polisi ni bingwa wa kulindana.Aliyewatuma lazima alikuwa na mawasiliano ya karibu sana na watu hao.
Hii kesi angesimamia Kibatala na Team yake.
Ila kwa Mawakili wa Chama hawa, madogo watachomoka wanaweza kuambulia Kulipa Faini ya laki tano tano tu.