Watu 53 wamepotea kuanzia Agosti mosi mpaka Agosti 31, 2024

Watu 53 wamepotea kuanzia Agosti mosi mpaka Agosti 31, 2024

JanguKamaJangu

JF-Expert Member
Joined
Feb 7, 2022
Posts
2,780
Reaction score
6,607

Jumla ya watu 53 wamepotea kuanzia Agosti mosi mpaka Agosti 31 mwaka 2024, ambapo jumla hii ni kwa wale tu waliofika kwenye ofisi za ITV Mikocheni Dar es Salaam, na taarifa zao kutangazwa kupitia kipindi cha Yu...Wapi?.

Mgawanyo ya Watu waliopotea
Chini ya miaka 18 - 21 (Wanawake 8, Wanaume 13)

Zaidi ya Miaka 18 – 32 (Wanawake 12, Wanaume 20)

Mgawanyo wa Gender katika idadi ya 53 waliopotea
Wanawake - 20
Wanaume - 33

Mgawanyo wa Mikoa katika idadi ya 53 waliopotea
Dar – 42
~ Ubungo 14
~ Kinondoni 12
~ Ilala 8
~ Temeke 7
~ Kigamboni 1

Nje ya Dar - 11

Kati ya Watu 53 waliotangazwa na ITV kupotea, kati yao waliokuwa na changamoto ya Afya ya Akili ni 15

Chanzo: ITV
 
Ukiondoa hao 15 wenye maradhi ya afya ya akili ,hao waliobakia 38 ,ukiondoa wanawake maana inawezekana wameenda kwa wapenzi ,hao wanaume wanaobakia kuna mambo mengi.
 
Back
Top Bottom