Kwa uelewa wangu mdogo ili mtu uweze kuwa mdhamini ni sharti kwanza umjue unaemdhamini na pili uridhie kuwa mdhamini. Lakini kwa siku za hivi karibuni kumetokea mchezo wa makampuni ya kutoa mikopo mitandaoni kuwasiliana na watu out of nowhere kwa madai kuwa wao ni wadhamini wa mtu fulani...
Hivi kabla hujakopa, vigezo na masharti huvipitii?. Sisi wabongo asili yetu ni wezi na matapeli. Tala na branch mliwafungashia virago acha hawa wengine wawanjooshe
Siku hizi kumekuwa na Kampuni nyingi za Mikopo Online kama PesaX, Twiga Loan, Mloan, Cash X. Na watu bila kuwa makini mtakuja jikuta mnaingia matatizoni kutoka na taarifa zinazokusanywa na Kampuni hizi. Nimejaribu kadhaa na hakuna ya afadhali, unakuta inakusanya taarifa hizi:- SMS - yan...
Siku hizi kumekuwa na Kampuni nyingi za Mikopo Online kama PesaX, Twiga Loan, Mloan, Cash X. Na watu bila kuwa makini mtakuja jikuta mnaingia matatizoni kutoka na taarifa zinazokusanywa na Kampuni hizi. Nimejaribu kadhaa na hakuna ya afadhali, unakuta inakusanya taarifa hizi:- SMS - yan...
Kumbe, ngoja nikope hata wakiaccess info zangu sina mambo ya ajabu ya kutisha labda pale watakapotumia sms wazazi wangu na kaka yangu kuwa mimi ni tapeli ndio watanchafua kwa hilo[emoji133]
Ni uzi mwingine tena kuhusu Application za kukopesha watu ukiwa na dharura. Sijakopa, ila hii weekend nimetumiwa zaidi ya meseji 8 tofauti tofauti ya watu wanne nnaowajua wamekopa na hawajalipa sasa meseji inasema niwaambie walipe. Wao wanasema mimi niliwekwa kama mdhamini lakini baada ya...
Kama unatumia sana youtube utakuwa umekutana na matangazo ya mikopo mtandao. Mimi sikuwa nayazingatia mpaka yakaanza kuwa ya ajabu ajabu kama hivi; Basi nikaamua kufuatilia kidogo, nikatafuta makampuni yanayomiliki haya matangazo. Cha kushangaza utakuta vikampuni vingi vingi viko chini ya...
Ni kweli. Hawa jamaa hawana ofisi, ila wanafanya biashara ya kukopesha pesa. Wanatumia njia ya udhalilishaji kwa sababu hawana dhamana zaidi ya contact list yako uliyowapa. Hao ndio Pesa X, nasikia sana vilio vyake mitandaoni. Serikali ichukue hatua!
Ni kweli. Hawa jamaa hawana ofisi, ila wanafanya biashara ya kukopesha pesa. Wanatumia njia ya udhalilishaji kwa sababu hawana dhamana zaidi ya contact list yako uliyowapa. Hao ndio Pesa X, nasikia sana vilio vyake mitandaoni. Serikali ichukue hatua!
Napenda kulalamikia makampuni ya mikopo madogomadogo na assasi zisizo za kiserikali, kurekebisha kauli zao na misimamo yao, Mtu anapoomba mkopo nikwamba anahitaji mkopo ule ajikimu na matatizo aliyonayo, lakini badala yake wao hu (upload users devices data) mfano Phonebooks na meseji kisha mteja...
Nchi hii kuna mambo ambayo bila kuongelewa na wanasiassa au watu maarufu, mambo hayo huendelea kufanyika hata kama yako kinyume cha sheria na yanaumiza wananchi. Mojawapo na hili la mikopo ya mitandaoni ambalo hata Raisi wa nchi sidhani kama amewahi kuliongelea. Hili kwa sasa ni tatizo kama...
Uchunguzi wa kijasusi uliofanywa na BBC umegundua yafuatayo.
1) Mteja mtarajiwa hutumiwa meseji akiambiwa kwamba amechaguliwa kupata mkopo wa kiasi flani, hivyo afuate link ya ‘playstore’ ili ku-‘download’ na ku-‘install’ app ya kampuni husika.
2) Wakati wa ku-‘install’, ile app inakuomba ruhusa ya kuingia kwenye ‘contact list’ yako yote, ‘Photo gallery’ yote, ‘Messages’ zote, ‘call log’ yote! Halafu ndani ya dakika chache mkopo wako unaingia.
3) Riba za kampuni husika zinaenda kinyume na matakwa ya kisheria ya nchi husika, mfano ukikopa elfu 40, unaweza kuja kuambiwa ulipe laki 2 kama jumla ya mkopo na riba, hii ni mara 5 ya pesa uliyokopa, na ni kinyume cha sheria za mikopo za BOT.
4) Kampuni husika huwa hazina ofisi popote zaidi ya kuwepo mtandaoni tu, ila huwa inaajiri recovery unit huko vichochoroni na kuwapa training jinsi ya kufanya unyanyasaji/harassment kwa watu waliopitiliza kulipa.
- Hapa wanapitia contact zako zote na kuwatumia meseji kwamba wewe ni tapeli na kukuaibisha na kukufanya usiaminike tena kwao.
- Pia wanapitia meseji zako na kutafuta zile unazotumiana na mchepuko wako, kisha wanatishia kutuma namba ya mchepuko wako kwa mke wako, ambapo hutishia kuharibu na kusambaratisha maisha yako na kuvuruga familia yako. Hapa wanaweza kukublack mail uwalipe hata milioni 2 badala ya laki 2, ni ‘Extortion’ na ‘Intimidation’. Na hakuna kitu BOT wanaweza kufanya, ni TCRA ndio anaweza kufungua App hizo, ila nahisi wana mgao, kwahiyo wanagawana hizi ‘Extortions’.
- Wanapitia picha zako zote za Photo gallery yako na kutafuta zile ulizopiga ukiwa uchi, ukiwa na michepuko, au kama ni shoga unafanya kwa siri na wakakuta picha zako ukiliwa ndio umekwisha kabisa, maana watatuma hizo picha kwenye whatsapp ya baba mkwe, mama mkwe, baba, mama, dada, ndugu, marafiki nk. Huko India watu 60 wameshajiua, hapa Tanzania sijui, mwenye takwimu azilete. Ukitaka wasizitume picha unaweza ukaambiwa lipa milioni 10, wengi wamelipa kunusuru kuaibishwa. Imagine unalipa milioni 10 kwa mkopo wa elfu 20.
Uchunguzi umebaini kwamba muhusika mkuu yupo Hongkong, ambapo ofisi yake inajina lingine kabisa, na hupokea mapato ya ‘unyonyaji’ ambayo hugawana na mamlaka ya usimamizi wa nchi husika, mfano kwa hapo bongo kuna TCRA.
MWISHO.
- Wote mliokopa kaeni kwa akili sana, usije ukapiga picha ya ajabu hata baada ya kuwa umekopa wakati hiyo app bado ipo, au ukatuma meseji kwa mchepuko, au ukaweka simu karibu wakati wa tendo, maana wana hadi live access ya Camera yako bila wewe kujua, wanakusikiliza na wanakurekodi mwanzo mwisho.
- Hizi kampuni hazina uwezo wala eligibility ya kukupeleka mahakamani au popote pale endapo hutolipa, bali wanatumia tu tactics za kukuaibisha na kukudhalilisha hadi ulipe, usipo lipa ndio basi, hawana cha kufanya zaidi ya kuharass ndugu na marafiki zako.
Serikali imetoa wito kwa watoa huduma za kifedha nchini kufuata sheria na taratibu za huduma za Fedha ikiwemo kupata leseni ya Benki Kuu ya Tanzania (BoT) ili kuhakikisha huduma hizo zinatolewa kwa ufanisi bila kuwaumiza na kuwadhalilisha wanufaika na hatimaye kukuza uchumi wa nchi. Akizungumza...
Acheni uoga mimi sina shida ya hela ila nimekopa kampuni zote na wakinipigia nawaambia cha mgema uliwa na mlevi ,mlevi ndio mimi maana hakuna kampuni iliyopewa kibali kukopesha na BOT ndio maana wana riba za ajabu ajabu,tutafune pesa watakimbia wenyewe
Habari ninaomba msaada wa kisheria ili haki iweze kutendeka , nimetishiwa kudhalilishwa na Mtoa huduma wa Pesa X inayomilikiwa na singularity Company kama inavyooneka hapo chini
Mkurugenzi Mkuu wa Tume ya Ulinzi wa Taarifa Binafsi, Emmanuel Mkilia amezionya Taasisi na Watu Binafsi wanaotoa Mikopo na kisha kuwadhalilisha Wakopaji ikiwa wameshindwa kurudisha Mikopo Amesema, “Tutoe onyo kwa watu/Taasisi za Mikopo zinazowanyima haki ya faragha wateja kwa kuweka mikataba...
Uchunguzi wa kijasusi uliofanywa na BBC umegundua yafuatayo.
1) Mteja mtarajiwa hutumiwa meseji akiambiwa kwamba amechaguliwa kupata mkopo wa kiasi flani, hivyo afuate link ya ‘playstore’ ili ku-‘download’ na ku-‘install’ app ya kampuni husika.
2) Wakati wa ku-‘install’, ile app inakuomba ruhusa ya kuingia kwenye ‘contact list’ yako yote, ‘Photo gallery’ yote, ‘Messages’ zote, ‘call log’ yote! Halafu ndani ya dakika chache mkopo wako unaingia.
3) Riba za kampuni husika zinaenda kinyume na matakwa ya kisheria ya nchi husika, mfano ukikopa elfu 40, unaweza kuja kuambiwa ulipe laki 2 kama jumla ya mkopo na riba, hii ni mara 5 ya pesa uliyokopa, na ni kinyume cha sheria za mikopo za BOT.
4) Kampuni husika huwa hazina ofisi popote zaidi ya kuwepo mtandaoni tu, ila huwa inaajiri recovery unit huko vichochoroni na kuwapa training jinsi ya kufanya unyanyasaji/harassment kwa watu waliopitiliza kulipa.
- Hapa wanapitia contact zako zote na kuwatumia meseji kwamba wewe ni tapeli na kukuaibisha na kukufanya usiaminike tena kwao.
- Pia wanapitia meseji zako na kutafuta zile unazotumiana na mchepuko wako, kisha wanatishia kutuma namba ya mchepuko wako kwa mke wako, ambapo hutishia kuharibu na kusambaratisha maisha yako na kuvuruga familia yako. Hapa wanaweza kukublack mail uwalipe hata milioni 2 badala ya laki 2, ni ‘Extortion’ na ‘Intimidation’. Na hakuna kitu BOT wanaweza kufanya, ni TCRA ndio anaweza kufungua App hizo, ila nahisi wana mgao, kwahiyo wanagawana hizi ‘Extortions’.
- Wanapitia picha zako zote za Photo gallery yako na kutafuta zile ulizopiga ukiwa uchi, ukiwa na michepuko, au kama ni shoga unafanya kwa siri na wakakuta picha zako ukiliwa ndio umekwisha kabisa, maana watatuma hizo picha kwenye whatsapp ya baba mkwe, mama mkwe, baba, mama, dada, ndugu, marafiki nk. Huko India watu 60 wameshajiua, hapa Tanzania sijui, mwenye takwimu azilete. Ukitaka wasizitume picha unaweza ukaambiwa lipa milioni 10, wengi wamelipa kunusuru kuaibishwa. Imagine unalipa milioni 10 kwa mkopo wa elfu 20.
Uchunguzi umebaini kwamba muhusika mkuu yupo Hongkong, ambapo ofisi yake inajina lingine kabisa, na hupokea mapato ya ‘unyonyaji’ ambayo hugawana na mamlaka ya usimamizi wa nchi husika, mfano kwa hapo bongo kuna TCRA.
MWISHO.
- Wote mliokopa kaeni kwa akili sana, usije ukapiga picha ya ajabu hata baada ya kuwa umekopa wakati hiyo app bado ipo, au ukatuma meseji kwa mchepuko, au ukaweka simu karibu wakati wa tendo, maana wana hadi live access ya Camera yako bila wewe kujua, wanakusikiliza na wanakurekodi mwanzo mwisho.
- Hizi kampuni hazina uwezo wala eligibility ya kukupeleka mahakamani au popote pale endapo hutolipa, bali wanatumia tu tactics za kukuaibisha na kukudhalilisha hadi ulipe, usipo lipa ndio basi, hawana cha kufanya zaidi ya kuharass ndugu na marafiki zako.
Serikali imetoa wito kwa watoa huduma za kifedha nchini kufuata sheria na taratibu za huduma za Fedha ikiwemo kupata leseni ya Benki Kuu ya Tanzania (BoT) ili kuhakikisha huduma hizo zinatolewa kwa ufanisi bila kuwaumiza na kuwadhalilisha wanufaika na hatimaye kukuza uchumi wa nchi. Akizungumza...
Uchunguzi wa kijasusi uliofanywa na BBC umegundua yafuatayo.
1) Mteja mtarajiwa hutumiwa meseji akiambiwa kwamba amechaguliwa kupata mkopo wa kiasi flani, hivyo afuate link ya ‘playstore’ ili ku-‘download’ na ku-‘install’ app ya kampuni husika.
2) Wakati wa ku-‘install’, ile app inakuomba ruhusa ya kuingia kwenye ‘contact list’ yako yote, ‘Photo gallery’ yote, ‘Messages’ zote, ‘call log’ yote! Halafu ndani ya dakika chache mkopo wako unaingia.
3) Riba za kampuni husika zinaenda kinyume na matakwa ya kisheria ya nchi husika, mfano ukikopa elfu 40, unaweza kuja kuambiwa ulipe laki 2 kama jumla ya mkopo na riba, hii ni mara 5 ya pesa uliyokopa, na ni kinyume cha sheria za mikopo za BOT.
4) Kampuni husika huwa hazina ofisi popote zaidi ya kuwepo mtandaoni tu, ila huwa inaajiri recovery unit huko vichochoroni na kuwapa training jinsi ya kufanya unyanyasaji/harassment kwa watu waliopitiliza kulipa.
- Hapa wanapitia contact zako zote na kuwatumia meseji kwamba wewe ni tapeli na kukuaibisha na kukufanya usiaminike tena kwao.
- Pia wanapitia meseji zako na kutafuta zile unazotumiana na mchepuko wako, kisha wanatishia kutuma namba ya mchepuko wako kwa mke wako, ambapo hutishia kuharibu na kusambaratisha maisha yako na kuvuruga familia yako. Hapa wanaweza kukublack mail uwalipe hata milioni 2 badala ya laki 2, ni ‘Extortion’ na ‘Intimidation’. Na hakuna kitu BOT wanaweza kufanya, ni TCRA ndio anaweza kufungua App hizo, ila nahisi wana mgao, kwahiyo wanagawana hizi ‘Extortions’.
- Wanapitia picha zako zote za Photo gallery yako na kutafuta zile ulizopiga ukiwa uchi, ukiwa na michepuko, au kama ni shoga unafanya kwa siri na wakakuta picha zako ukiliwa ndio umekwisha kabisa, maana watatuma hizo picha kwenye whatsapp ya baba mkwe, mama mkwe, baba, mama, dada, ndugu, marafiki nk. Huko India watu 60 wameshajiua, hapa Tanzania sijui, mwenye takwimu azilete. Ukitaka wasizitume picha unaweza ukaambiwa lipa milioni 10, wengi wamelipa kunusuru kuaibishwa. Imagine unalipa milioni 10 kwa mkopo wa elfu 20.
Uchunguzi umebaini kwamba muhusika mkuu yupo Hongkong, ambapo ofisi yake inajina lingine kabisa, na hupokea mapato ya ‘unyonyaji’ ambayo hugawana na mamlaka ya usimamizi wa nchi husika, mfano kwa hapo bongo kuna TCRA.
MWISHO.
- Wote mliokopa kaeni kwa akili sana, usije ukapiga picha ya ajabu hata baada ya kuwa umekopa wakati hiyo app bado ipo, au ukatuma meseji kwa mchepuko, au ukaweka simu karibu wakati wa tendo, maana wana hadi live access ya Camera yako bila wewe kujua, wanakusikiliza na wanakurekodi mwanzo mwisho.
- Hizi kampuni hazina uwezo wala eligibility ya kukupeleka mahakamani au popote pale endapo hutolipa, bali wanatumia tu tactics za kukuaibisha na kukudhalilisha hadi ulipe, usipo lipa ndio basi, hawana cha kufanya zaidi ya kuharass ndugu na marafiki zako.
Serikali imetoa wito kwa watoa huduma za kifedha nchini kufuata sheria na taratibu za huduma za Fedha ikiwemo kupata leseni ya Benki Kuu ya Tanzania (BoT) ili kuhakikisha huduma hizo zinatolewa kwa ufanisi bila kuwaumiza na kuwadhalilisha wanufaika na hatimaye kukuza uchumi wa nchi. Akizungumza...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.