Watu 80 wauawa Pakistan katika mapigano kati ya Sunni na Shia

Watu 80 wauawa Pakistan katika mapigano kati ya Sunni na Shia

Power struggle --- Mkiambiwa dini ni human made so ni scammer hamtaki kuelewa , sasa kinacho wafanya hapo wapigane na kuuwana ni nini kama sio kugombania madaraka na influence, na kama Mungu yupo na Ndiye mwenye Hiyo dini kweli why aruhusu watu wake wagawanyike na mpaka wafikie hatua ya kuuana !?

Dini ni scammer ndio maana hayo makundi mawili yanavutana kwasababu kila kundi linataka liwe ndio lenye mamlaka ya kutambulika kuwa ndio kundi Sahihi na endapo likifanikiwa ktk Hilo litakuwa ndio kundi lenye influence kubwa kisiasa kitamaduni na kijamii
 
Hahaha mleta mada umekosea, kichwa cha uzi kilitakiwa kusema "wauana"sio wauwawa. Mkipigana mna uwana nyie kwa nyie.

Hizi vita za wajukuu wa Mudi huwa haziingiliwi, ukiingilia tu, wanakugeukia wewe ndiye unakuwa adui.

Mpaka waombe msaada Marekani na Europe iingilie kati kuleta AMANI.

HApo hutasikia wameuliwa wanawake na watoto.

Hahaha huku kwetu Sheikh Ponda anawashitaki BAKWATA. Sisi wastaatabu sana.
 
Ukiwaza sana dini za mzungu na mwarabu unaona wazi zimekuja kusambaratisha jamii za kiafrica na wajinga wengine. Hivi ni Mungu gani huyo anayehimiza watu wauane wakati yeye mwenyewe ana uwezo wa kufanya hivyo ila hafanyi?.
 
Vita vya Msalaba kati ya Wakristo wa Magharibi na Wakristo wa Mashariki

Mwaka: 1204

Maelezo: Wakati wa Msalaba wa Nne (Fourth Crusade), wanajeshi wa Kikristo wa Ulaya Magharibi walishambulia na kupora mji wa Kikristo wa Constantinople, mji mkuu wa Dola ya Byzantine (Orthodox). Tukio hili lilisababisha mpasuko mkubwa kati ya Wakatoliki na Waorthodoksi wa Mashariki.
People were still savages back then(year 1204) the civilization of the 21st century kupigana wenyewe kwa wenyewe kisa utapeli wa maandishi ya kwenye Quran/Bible ni upumbavu uliokithiri.
Hivyo vitabu vilitungwa na matapeli wa enzi hizo ili kutisha watu kuhusu dhambi wawatawale kirahisi na dini zilienezwa kimabavu(Jihad/Crusade) pale watu walipokuwa wakiwastukia kuwa hizo imani wanazowaingizia ni usanii.
Acha kutafuta justification ya huo upuuzi wa kupigana na kuuana kati ya Sunni na Shia kisa tu eti mwaka 1204 Christians walipigana wenyewe kwa wenyewe. Pathetic....!
 
Mgogoro wa Tigray, Ethiopia

Mwaka: 2020–2022

Maelezo: Vita vya wenyewe kwa wenyewe vya Tigray vilihusisha jamii nyingi za Kikristo, ikiwa ni pamoja na Waorthodoksi wa Ethiopia. Ingawa vita hivi vilikuwa vya kisiasa, baadhi ya makanisa ya Kikristo yalivutwa katika mzozo huu, yakisababisha mivutano na mauaji ndani ya jamii za Kikristo.
Does this 👆 justify what has happened in Pakistan?
 
Vita vya Dini vya Ulaya

Miaka: 1524–1648

Maelezo: Hizi zilikuwa vita kati ya Wakatoliki na Waprotestanti zilizotokea baada ya Matengenezo ya Kanisa ya Martin Luther mwaka 1517.
Bado haihalalishi kuuana kati ya Wasuni na Washia, upuuzi juu ya upuuzi.
Hizi dini mlizobambikizwa na kuwa brainwashed kiasi cha kushindwa hata kutumia common sense ni janga kubwa mno.
 
Wameuana wapakistan hapo uislamu inaingiaje? Jamii ya waarabu na wagiriki wanajulikana ni watu wa kukichafua sasa nyinyi matukio yao yote hata lazima Uislam uwekwe
Screenshot_20241205-175941.jpg
Screenshot_20241205-175907.jpg
Screenshot_20241205-175850.jpg
 
Bado haihalalishi kuuana kati ya Wasuni na Washia, upuuzi juu ya upuuzi.
Hizi dini mlizobambikizwa na kuwa brainwashed kiasi cha kushindwa hata kutumia common sense ni janga kubwa mno.
Unajiona umeandika cha maana hivi. Kumbe 0
 
Unajiona umeandika cha maana hivi. Kumbe 0
I've been checking your replies, hakuna hata post uliyoweza kuijibu zaidi kuweka mabandiko ambayo kwa yoyote mwenye uelewa japo wa elementary level anakubaini kuwa hauna majibu bali unatafuta kujifariji kwa kuamini kuwa kile unachdhania kuwa ni madhaifu au mapungufu kwa wengine basi kwako ni faraja.
Hakuna chochote ulichopost kinachoonyesha kuwa at least umejaribu kufafanua mapigano na kuuana kati ya Sunni na Shia yamesababishwa na kitu gani, malengo na kuuana huko nini na wa kulaumiwa ni nani.
Kukubali kupofushwa na doctrine za kipumbavu ni upuuzi kwani kama unatumia common sense hauwezi kuwa brainwashed kiasi cha kujitoa ufahamu kuwa kama mwehu.
Soma posts na toa majibu sensible kama mtu mwenye akili timamu.
 
I've been checking your replies, hakuna hata post uliyoweza kuijibu zaidi kuweka mabandiko ambayo kwa yoyote mwenye uelewa japo wa elementary level anakubaini kuwa hauna majibu bali unatafuta kujifariji kwa kuamini kuwa kile unachdhania kuwa ni madhaifu au mapungufu kwa wengine basi kwako ni faraja.
Hakuna chochote ulichopost kinachoonyesha kuwa at least umejaribu kufafanua mapigano na kuuana kati ya Sunni na Shia yamesababishwa na kitu gani, malengo na kuuana huko nini na wa kulaumiwa ni nani.
Kukubali kupofushwa na doctrine za kipumbavu ni upuuzi kwani kama unatumia common sense hauwezi kuwa brainwashed kiasi cha kujitoa ufahamu kuwa kama mwehu.
Soma posts na toa majibu sensible kama mtu mwenye akili timamu.
Sass umeandika utumbo gani?
 
Wanasema mudy anaweza akawa miongoni mwa binadamu waliowahi kuwa wanafiki zaidi duniani. Alisisitiza jambo hili, alifanya jambo lile. Alifanikiwa sana kuficha vile alivyo.
Jamaa alikuwa mjanja sana, hana tofauti kubwa na kina T.B. Joshua na hawa kina Gwajima wa hapa Tanzania
 
Jamaa alikuwa mjanja sana, hana tofauti kubwa na kina T.B. Joshua na hawa kina Gwajima wa hapa Tanzania
Kawalisha matango pori wenzake eti usipojua kutamka maneno ya swala kwa kiarabu, huendi mbinguni, kujitwalia mabikra
 
Kawalisha matango pori wenzake eti usipojua kutamka maneno ya swala kwa kiarabu, huendi mbinguni, kujitwalia mabikra
Kiufupi alikuwa mjanja sana na shetani alichangia kumpa maarifa ya kutawala watu wa karne ile kaika ule ukanda wa dunia.
 
Back
Top Bottom