Waongo wakubwa hilo kundi la kwanza Mimi mwenyewe nina kitambulisho cha nida na sijasajili kwa alama ya vidole na haijafungwa. Yaani wanapiga mkwara unaofanana na yule mbwa anayebweka huku kaficha mkia kwenye miguu yake ya nyuma.
Sent using Jamii Forums mobile app
Sent using Jamii Forums mobile app