Alikuwa kichwa sana.Huyu mwanamama naziheshimu sana kazi za mikono yake,
R.I.P
Bila ya kumsahau the father of Afrobeat Mzee Fela Ransome Anikulapo Kuti.. Hapo picture ya kwanza akiwa na baashi ya wake zake (jumla yao ilikuwa 26)Binafisi naamini hapa duniani kila mtu anajambo alilowahi kulifanya na kupelekea jamii yake kubaki ikimkumbuka daima.
Jambo linaweza kuwa jema au baya,lakini bado atakumbukwa kwa hilo.binafsi kwa hapa tanzania ukitoa baba wa taifa anayefata kwa sasa ni Ngoyai LOWASA, ndugu huyu katuonesha kwa vitendo anavyoweza kujisimamia mwenyewe katika kila kitu.
Tuachane na hapa kwetu, je unajua kina hitller ,musolin,dagama,newton,faraday,erenest eisday,laberty ni baadhi ya mashujaa wa hii dunia?
Naomba muniongeze wengine ambao dunia inawatambua,na matukio yao.
Thanks kiongozi si unajua long time sana haya mambo..!Nimeangalia kwenye mitambo yangu inaonesha MC Hammer You can't touch, bila shaka ulimaanisha You can't touch this na Have you seen her, na si ice ice baby.
Ngoja niziweke hapa chini kwanza uzisikilize
Pamoja.Thanks kiongozi si unajua long time sana haya mambo..!
Pamoja sana kakaPamoja.
Mshua wangu anaipenda sana have you seen her
Professor sio daktaDakta jakaya mrisho kikwete
Dkt. Kingwall kwa kufunga geti saa 1 asubuhi.
Ahsante.