Watu ambao dunia haitawasahau

Watu ambao dunia haitawasahau

Charlie chaplin
although he was surrounded by controversies in his personal life,he is my best comedian ever!
chaplin.jpg
charles.jpg
charlie.jpg
Sir Charles chaplin.jpg
 
Kristo Yesu. Mwana wa Mungu aliye hai. Bila yeye tumaini la kizazi chote cha binadamu lingezama.
 
Wangari maathai.....mwanaharakati wa mazingira huko kenya...mama huyu alikua shujaa.
hata kina baba wanaomalizia mishahara yao bar ni mashujaa wa nguvu. Bila hao ajira zingekuwa ngumu, wameajiri bar manager, bar men, bar maids, wapishi, mawaiter na walinzi wa bar. Pia serikali inajipatia kodi na mmiliki wa bar anajipatia faida. Dawasco wanajipatia pesa na Tanesco pia, raha ya bia iwe ya baridiiiiii
 
Back
Top Bottom