Alifanya mapinduzi ya music videos... music videos kugeuka tool ya kupromote albums na miziki..Michael Jackson.
That's MJ for youAlifanya mapinduzi ya music videos... music videos kugeuka tool ya kupromote albums na miziki..
Achana na record breaking of singles and albums sold...
Osama alikuwa/ni mtu mzuri muungwana sana, ila wale wa kupindisha ukweli ndio waliotaka kutuaminisha upuuzi wao
Watuambie chanzo hadi kuonekana ni Gaidi kama walivyompachika ni nini !?
LIONEL MESSI ANAHUSIKA SANA
Stop trying to hijack the thread.AL-SHABABY NA ISLAMIC STATE
Wale wanaowatupa watoto haujatoa lako la moyoni kuwahusu,wape neno mwaego.Mashujaa akina mama wote wanaolea watoto pekee yao.