Watu ambao nataman kuonana nao.

Watu ambao nataman kuonana nao.

Hahah!! Jana tu nilikua na mawazo ndio mana usingizi ukanitupa mkono ila saa tatu tu huwa nimeshalala [emoji23][emoji23]
Mmh. Weweweeee? [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]

Haya. Pole ndio dunia hiyo rafiki. Ila nina imani yashakwisha sasa. [emoji85] [emoji85]
 
Mmh. Weweweeee? [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]

Haya. Pole ndio dunia hiyo rafiki. Ila nina imani yashakwisha sasa. [emoji85] [emoji85]
Ndio sasa hivi nipo sawa rafiki..

Asanteee
Tena muda ule mimi nilikuwepo kwenye huu uzi ila yeye alikuwa anazurura tu majukwa mengi
[emoji23][emoji23][emoji23] aisee! Yamekua hayo tena wakati tulikua wote humu
 
Ndio sasa hivi nipo sawa rafiki..

Asanteee

[emoji23][emoji23][emoji23] aisee! Yamekua hayo tena wakati tulikua wote humu
Hahaaaa. Lol. Karibu tena rafiki wa Hajar. [emoji12]

Ndio anakusemelea si ulimuacha ukaenda kuzurura peke yako bila kwenda naye. [emoji85]
 
Totototot!!!

[emoji134] [emoji134] [emoji134] inatosha sasa rafiki lol. Sababu hadi tukifika mwisho mwenye uzi atakuwa kanuna. Lol [emoji12]
Tutut!!

Kweli tuachane na haya mana ni fujo sasa

[emoji23][emoji23][emoji23]
 
Back
Top Bottom