Watu hawana aibu wala haya kabisa yaani kwenye nyumba za ibada watu wanaombana namba na kutongozana? Nimechukia aisee

Watu hawana aibu wala haya kabisa yaani kwenye nyumba za ibada watu wanaombana namba na kutongozana? Nimechukia aisee

Makonde plateu

JF-Expert Member
Joined
Nov 19, 2022
Posts
1,443
Reaction score
3,480
Daa watu wengine sijui wameumbwa vp jamani leo hii kiukweli nimejikuta nimechukia sana aisee tupo kwenye ibada wakati mchungaji anatoa mahubiri kuna watu huku nahisi hawa ni gen z back bencha wanaanza kuombaba namba na kuanza kutongoza eti usiku mida ya saa mbili tukutane element daaa nimechukia nusu niwalambe makofi wote ila imani imanijia tu nikasema ngoja tukitoka nje nitawachana ila wenyewe wakajishitukia muda wa kutoka wakatoka haraka haraka kunihofia mimi ila uzuri niliwapiga picha sura zao nazifahamu

Watu hawana hofu kabisa aisee hata kwenye nyumba za ibada ila hii hauwezi kuona kwa wale ndugu zetu upande wa pili waislamu kwenye ibada zao wanatulia wanasilikiliza mawaidha kwanza hawachangamani wanawake kwao na wanaume kwao kuepusha haya haya na waislamu wamenyooka sana jumapili ya Leo nimechukia sana daaah 😬😬😬
 
Kila mtu anaenda mahali kwa lengo lake,, nawewe fanya kilichokupeleka
 
Daa watu wengine sijui wameumbwa vp jamani leo hii kiukweli nimejikuta nimechukia sana aisee tupo kwenye ibada wakati mchungaji anatoa mahubiri kuna watu huku nahisi hawa ni gen z back bencha wanaanza kuombaba namba na kuanza kutongoza eti usiku mida ya saa mbili tukutane element daaa nimechukia nusu niwalambe makofi wote ila imani imanijia tu nikasema ngoja tukitoka nje nitawachana ila wenyewe wakajishitukia muda wa kutoka wakatoka haraka haraka kunihofia mimi ila uzuri niliwapiga picha sura zao nazifahamu

Watu hawana hofu kabisa aisee hata kwenye nyumba za ibada ila hii hauwezi kuona kwa wale ndugu zetu upande wa pili waislamu kwenye ibada zao wanatulia wanasilikiliza mawaidha kwanza hawachangamani wanawake kwao na wanaume kwao kuepusha haya haya na waislamu wamenyooka sana jumapili ya Leo nimechukia sana daaah 😬😬😬
Hilo nitatizo la kanisa lenyewe sio hao wahusika. Kama wanaruhusu wanawake wavaae nguo mbano sasa walitegemea nini.
Alafu sii wanasema mke mwema upatikana kanisani
 
Daa watu wengine sijui wameumbwa vp jamani leo hii kiukweli nimejikuta nimechukia sana aisee tupo kwenye ibada wakati mchungaji anatoa mahubiri kuna watu huku nahisi hawa ni gen z back bencha wanaanza kuombaba namba na kuanza kutongoza eti usiku mida ya saa mbili tukutane element daaa nimechukia nusu niwalambe makofi wote ila imani imanijia tu nikasema ngoja tukitoka nje nitawachana ila wenyewe wakajishitukia muda wa kutoka wakatoka haraka haraka kunihofia mimi ila uzuri niliwapiga picha sura zao nazifahamu

Watu hawana hofu kabisa aisee hata kwenye nyumba za ibada ila hii hauwezi kuona kwa wale ndugu zetu upande wa pili waislamu kwenye ibada zao wanatulia wanasilikiliza mawaidha kwanza hawachangamani wanawake kwao na wanaume kwao kuepusha haya haya na waislamu wamenyooka sana jumapili ya Leo nimechukia sana daaah 😬😬😬
ibadani ni sehemu nyeti ya kufahamiana vizuri, acheni hizo
 
Daa watu wengine sijui wameumbwa vp jamani leo hii kiukweli nimejikuta nimechukia sana aisee tupo kwenye ibada wakati mchungaji anatoa mahubiri kuna watu huku nahisi hawa ni gen z back bencha wanaanza kuombaba namba na kuanza kutongoza eti usiku mida ya saa mbili tukutane element daaa nimechukia nusu niwalambe makofi wote ila imani imanijia tu nikasema ngoja tukitoka nje nitawachana ila wenyewe wakajishitukia muda wa kutoka wakatoka haraka haraka kunihofia mimi ila uzuri niliwapiga picha sura zao nazifahamu

Watu hawana hofu kabisa aisee hata kwenye nyumba za ibada ila hii hauwezi kuona kwa wale ndugu zetu upande wa pili waislamu kwenye ibada zao wanatulia wanasilikiliza mawaidha kwanza hawachangamani wanawake kwao na wanaume kwao kuepusha haya haya na waislamu wamenyooka sana jumapili ya Leo nimechukia sana daaah 😬😬😬
vip ingekuwa ni baada ya ibada, ungefurahia?
 
Umenikumbusha bana, kuna day niko na classmate ke , huyu wa o level, sasa ile tumemaliza misa, tukatoka nje akaitwa na limbaba limoja ivi age imeenda, wakaongea wee, akarudi akanitonya , oyaa nimemobwa na namba na yule mzee, ila nimemkatalia, siku hiyo nilicheka sana, afu tulikuwa wadogo.
 
Back
Top Bottom