Watu hukiri kwa vitendo: Kumfunga Simba ni kufunga dude kuubwa sana

Ndio kitu umeona cha kujifarijia hiki?

Yanga wanafurahi kumfunga simba sababu ya midomo yenu! Mnachongaga sana
Walianza na historia, wlipo kumbushwa kuwa walisha wahi pigwa 9 wakaruka kuwa wakati huo waliku ni malki, leo wanakuja kivingine
 
Ooh! nisamehe baba lakini mzee fanya na wewe uwahi ukapate supu na finyango tano zilizo nona.
Huo urohouroho mtakabwa na nyama mfe.Kama una hamu sana ya supu,nunua kilo mbili za nyama uwaambie nyumbani waipike iive vizuri.Vua na shati ule hadi ukohoe kwa shibe.
 
Amka toka usingizini
 
Una hoja nzuri ila umepuyanga kulinganisha na Real Madrid na Man City kwamba eeeti wanaona kama wamefunga hao. Hapo umepunyanga
 
Huo urohouroho mtakabwa na nyama mfe.Kama una hamu sana ya supu,nunua kilo mbili za nyama uwaambie nyumbani waipike iive vizuri.Vua na shati ule hadi ukohoe kwa shibe.
Lakini baba shughuli ni watu na watu wenyewe ni mimi na wewe, fanya uwahi mzee
 
Ushauri mzuri
 
kumfunga mtani goli 5 ni furaha kubwa
 
Huu ndiyo ukweli.Atakayeukataa muulize,Simba ameifunga Yanga utopolo magoli 3,4 na hata 5 mara ngapi na hakukuwa na sherehe?
Sasa wewe uliitaka Ngo'mbe 5 wote hao tuwanyie nini. Kama ulikosa nauli ya kupata supu pamoja na ndugu zako kaa kimya kuliko kuongea upotoshaji.
Mmeshasahu kwenye uchaguzi ajenda kuu ilikuwa ni kumfunga Yanga.
 

Attachments

  • 20231112_081254.jpg
    137.6 KB · Views: 1
Sasa wewe uliitaka Ngo'mbe 5 wote hao tuwanyie nini. Kama ulikosa nauli ya kupata supu pamoja na ndugu zako kaa kimya kuliko kuongea upotoshaji.
Mmeshasahu kwenye uchaguzi ajenda kuu ilikuwa ni kumfunga Yanga.
Kwa hiyo mna kombe la ng'ombe?
 
Safi sana maana hii ndiyo njia (kujifariji) pekee ya kuondokana na Sonoma hakuna njia nyingine.
 
Yanga ilipokuwa ikizichabanga timu ilizokuwa inakutana nazo mtani aliiambia yanga inakutana na timu mbovu ndiyo hapo sasa simba kaliamusha dude
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…