Watu kadhaa wameuawa katika shambulio la kigaidi dhidi ya Shirika la Viwanda vya Anga la Uturuki

Haya maumbwa ni majinga sana. Kuuwa binadamu wenzao bila sababu yanajisikia fahari! Mashetani wakubwa na huyo wanayemtumikia.
 
Magaidi ya Kiyahudi yanatafuta Attention ... yanaona wivu baada ya Edogan kualikwa BRICKS huko Russia
Basi yapo vizuri sana yanaenda kupiga hadi kule? Bricks ni nini? Russia ni Waislamu eeeeeh?🤣sisi tulinyimwa akili halafu hatutaki kusoma kabisa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…