Watu kama Tundu Lisu ni adimu sana Dunia.

Watu kama Tundu Lisu ni adimu sana Dunia.

Kindus

JF-Expert Member
Joined
May 14, 2014
Posts
3,384
Reaction score
2,073
Watu Hawa hawazaliwi mara kwa mara na pengine Kila nchi huweza kupata mara Moja kwa miongo kadhaa

Sifa ya watu Hawa Huwa hawapendwi na waovu na pia hata wao wenyewe hufika pahala wakajikataa
Hebu msomeni Martin Luther na hata kina Che Guevara

Watawala na wabadhirifu hutumia nguvu kubwa kuwaminisha umma kuwa watu wa aina hii ni hatari hawapaswi kupewa nafasi lkn kinyume chake ni kuwa ni hatari kwao wenyewe watawala na ni manufaa makubwa kwa umma

Hebu nendeni pale Lusaka mkamuone Hakainde Hichilema mtanielewa ninachokisema

Pamoja na kwamba watu Hawa Huwa na mapungufu flan kwa Kule kwao kujali haki za watu Hadi wanapitiliza Hali hii huwafanya kusahau kidogo kuhusu masiala ya uchumi

Watawala wengi wa Dunia hupenda kuwauwa watu kama Hawa misiba kama ya kina
Moringe Sokoine
Samora Mashel
Patrice Lumumba
Ken Sarowiwa
Robert Ouko na nk yooote husababishwa na watu wa Dunia kutowapenda watu watetezi wa haki
Tundu Lisu sijui Mungu Mwenyezi kakupangia nini lkn nitoe wito watanzania tuamke tumsaidie Tundu Lisu dhidi ya Dola na matapeli wa kisiasa kina Mbowe wasimuangamize
 
Watu Hawa hawazaliwi mara kwa mara na pengine Kila nchi huweza kupata mara Moja kwa miongo kadhaa

Sifa ya watu Hawa Huwa hawapendwi na waovu na pia hata wao wenyewe hufika pahala wakajikataa
Hebu msomeni Martin Luther na hata kina Che Guevara

Watawala na wabadhirifu hutumia nguvu kubwa kuwaminisha umma kuwa watu wa aina hii ni hatari hawapaswi kupewa nafasi lkn kinyume chake ni kuwa ni hatari kwao wenyewe watawala na ni manufaa makubwa kwa umma

Hebu nendeni pale Lusaka mkamuone Hakainde Hichilema mtanielewa ninachokisema

Pamoja na kwamba watu Hawa Huwa na mapungufu flan kwa Kule kwao kujali haki za watu Hadi wanapitiliza Hali hii huwafanya kusahau kidogo kuhusu masiala ya uchumi

Watawala wengi wa Dunia hupenda kuwauwa watu kama Hawa misiba kama ya kina
Moringe Sokoine
Samora Mashel
Patrice Lumumba
Ken Sarowiwa
Robert Ouko na nk yooote husababishwa na watu wa Dunia kutowapenda watu watetezi wa haki
Tundu Lisu sijui Mungu Mwenyezi kakupangia nini lkn nitoe wito watanzania tuamke tumsaidie Tundu Lisu dhidi ya Dola na matapeli wa kisiasa kina Mbowe wasimuangamize
Hapana wapo watu wengi sana kama huyo
 
Kama taifa tumepotoka, hatuwezi kumpenda mtu mkweli kama Lissu
Last time alitokea mtu mwenye kariba kama ya lissu. Alipigwa vita hadi na chama chake, hata alipofariki wapo walioshangilia

Tells you a lot about aina ya jamii tuliyonayo
 
Last time alitokea mtu mwenye kariba kama ya lissu. Alipigwa vita hadi na chama chake, hata alipofariki wapo walioshangilia

Tells you a lot about aina ya jamii tuliyonayo
1. Jamii inayoshabikia mla rushwa Yericko Nyerere
2. Jamii inayopenda mapato ya aibu
3. Jamii inayopenda vya bure
 
Watu Hawa hawazaliwi mara kwa mara na pengine Kila nchi huweza kupata mara Moja kwa miongo kadhaa

Sifa ya watu Hawa Huwa hawapendwi na waovu na pia hata wao wenyewe hufika pahala wakajikataa
Hebu msomeni Martin Luther na hata kina Che Guevara

Watawala na wabadhirifu hutumia nguvu kubwa kuwaminisha umma kuwa watu wa aina hii ni hatari hawapaswi kupewa nafasi lkn kinyume chake ni kuwa ni hatari kwao wenyewe watawala na ni manufaa makubwa kwa umma

Hebu nendeni pale Lusaka mkamuone Hakainde Hichilema mtanielewa ninachokisema

Pamoja na kwamba watu Hawa Huwa na mapungufu flan kwa Kule kwao kujali haki za watu Hadi wanapitiliza Hali hii huwafanya kusahau kidogo kuhusu masiala ya uchumi

Watawala wengi wa Dunia hupenda kuwauwa watu kama Hawa misiba kama ya kina
Moringe Sokoine
Samora Mashel
Patrice Lumumba
Ken Sarowiwa
Robert Ouko na nk yooote husababishwa na watu wa Dunia kutowapenda watu watetezi wa haki
Tundu Lisu sijui Mungu Mwenyezi kakupangia nini lkn nitoe wito watanzania tuamke tumsaidie Tundu Lisu dhidi ya Dola na matapeli wa kisiasa kina Mbowe wasimuangamize
Together we can,,,
Tumuunge mkono bwana tundu antipas mgwai lissu 🙏
 
Back
Top Bottom